Joram kiango
Member
- Aug 25, 2013
- 82
- 16
Tc very easy&doesn't cost a thing Nenda direct chuoni,u ll be admitted but kuhuxu mkopo itabidi uende makao makuu bodi,ili ukaombe! Umenipata mkuu?? Kwani tcu transfer deadline c ilishapita? N hayo tu [updated-boy"0768260834"]
Tcu deadline imepita alafu kwenye vyuo walivyoeka watu wafanye transfer ni aidha chuo kibaya au kozi mbaya infact nataka kusomea dar kwani mkoani nkikosa loan cjui itakuaje. .n what if cna ile point 0.5 ya gs tunaweza negotiate?
Mkopo ni kwa wale wa tcu tu
Mkopo ni kwa wale wa tcu tu