Joram kiango
Member
- Aug 25, 2013
- 82
- 16
Naomba msaada wa jinsi ya kuomba chuo bila kupitia t.c.u kwani kwenye slots vyuo vingi vizuri havipo na kuhusu mkopo itakuaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tc very easy&doesn't cost a thing Nenda direct chuoni,u ll be admitted but kuhuxu mkopo itabidi uende makao makuu bodi,ili ukaombe! Umenipata mkuu?? Kwani tcu transfer deadline c ilishapita? N hayo tu [updated-boy"0768260834"]
Tcu deadline imepita alafu kwenye vyuo walivyoeka watu wafanye transfer ni aidha chuo kibaya au kozi mbaya infact nataka kusomea dar kwani mkoani nkikosa loan cjui itakuaje. .n what if cna ile point 0.5 ya gs tunaweza negotiate?
Mkopo ni kwa wale wa tcu tu
Mkopo ni kwa wale wa tcu tu