Sanjeyakati
Member
- Jan 12, 2016
- 14
- 2
Nenda chuoni....Nataka kuomba nafasi za kusoma shahada ya kwanza katika fani za afya cchuo cha mbarara university,utaratibu ukoje kwa wanafunzi wa kitanzania?
Nimeipenda, na Nimekipenda CHUO.
Ulifanikiwa mkuuNataka kuomba nafasi za kusoma shahada ya kwanza katika fani za afya cchuo cha mbarara university,utaratibu ukoje kwa wanafunzi wa kitanzania?
Tafadhali unaweza kunisaidia link ya Makerere au Kampala?
mbarara university of science and technology UgandaNahitaji kufahamu vyuo bora vya kozi ya maabara (Laboratory).
mbarara university of science and technology UgandaNahitaji kufahamu vyuo bora vya kozi ya maabara (Laboratory).