Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

njia rahisi bila mazoezi ni kulikata tu hilo tumbo
hakuna namna,,,,
nje ya mada kidogo kuna mtu anajua njia rahisi ya kula chakula bila kula.,kama yupo anipm
 
Maelezo yako hayajitoshelezi, unamaanisha akismka breakfast iwe mtindi, lunch iwe mtindi na dinner iwe mtindi?,atapataje nguvu za kufanya kazi kama mwili utakuwa mtindi pekee?,alaf haujaonesha njia ya kutengeneza huo mtindi ili kuondoa hivyo vikorombwezo,
 
mtindi wa kawaida kama unauzwa na tanga fresh au asas
 
ndio na utakuwa na nguvu za kutosha kabisa maana kwenye mtindi kuna kiasi cha glucose ya kukutosha kuishi vizuri kabisa. unaweza kuchnganya na matunda na mboga za majani lakini maziwa kama maziwa yana kila kitu. unaweza kuchanganya ukihisi haushibi kabisa au tumbo linakuwa jepesi sana
 
Asante sana mkuu! Ili usichoke na mtindi asubuhi, mchana na jioni, unaweza kuchanganya matunda ndani ya mtindi, yaani iwe fruity yoghurt.
 
njia rahisi bila mazoezi ni kulikata tu hilo tumbo
hakuna namna,,,,
nje ya mada kidogo kuna mtu anajua njia rahisi ya kula chakula bila kula.,kama yupo anipm
Mkuu watafute wapare watakuelekeza
 
Mnahangaika bure. Njia rahisi ni kwenda kuchukua mkopo FINCA, au easy finance au BAYPORT. Tumbo litaisha lenyewe
 
Mnahangaika bure. Njia rahisi ni kwenda kuchukua mkopo FINCA, au easy finance au BAYPORT. Tumbo litaisha lenyewe

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hebu hamasisheni watu kufanya mazoezi, licha ya kupunguza ukubwa tumbo mazoezi yana faida nyingi sana mwilini
 
Mimi niwe tu mkweli, nina kitambi fulani nataka kukimaliza sasa changamoto ni kuwa lile zoezi la kusukuma kitairi na kukivuta aisee nalichukia sana.

Sasa kila gym au trainer ninayempata lazima atafika hatua tu anakuja na kale katairi...mimi ikifika tu hiyo hatua hapana.

Nakachukia sana kale karingi yaani nikifika gym nikakakuta naweza geuka zangu narudi home.

Hivi hakuna namna naweza kata tumbo bila kutumia kale katairi mateso?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…