T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Funguka vizuri mkuu kuhusu uhusiano wa hormones na vitambi, ama hakika utasaidia wengi sana.Kitambi kina letwa na Hormone na.kinamalizwa na hormone
Ni somo refu..kidogoFunguka vizuri mkuu kuhusu uhusiano wa hormones na vitambi, ama hakika utasaidia wengi sana.
yan na ujanja wako wote kumbe unatumbo kubwa😅 any way ukiamka asubuhi kunya glass moja ya maji yalio wekwa ndimu au limao tunda usiku usile sana vitu vya mafuta na sukari nyingiMimi Ni Ke..Nina tumbo kuubwa, nimejaribu njia Tofauti Tofauti ila sijapata matokeo.
Nlikua nafanya mazoezi na nikipata matokeo chanya ..ila nikashtuka goti..nikifanya mazoezi linauma goti.
Je nitumie.njia gani.mbadala wa mazoezi ili nifikie lengo.
.nakosa confidence na hili tumbo langu.
N.B Picha Siwezi tuma kwa wale wapenda picha.
Minataka kupungua mwili mzima..Ila maziwa yangebaki maana Ni madonchoro ..yakienda itakuwa so sadKuna kitu kinaitwa "CICA" yani Calories In, Calories Out. Kwa kifupi ili uweze kupungua ni LAZIMA ule calories chini ya kiwango ambacho mwili wako unahitaji. Maana yake ni kwamba, 1. punguza kula sana au 2.kula sana vyakula vyenye Calories chache. Pia ni vizuri ukajua kwamba utapungua mwili mzima, haiwezekani kupunguza kitambi tu peke yake.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....Mkuu imagine nikiwa Bibi itakuwaje..hehehe...kitambi Kama diaba.yan na ujanja wako wote kumbe unatumbo kubwa[emoji28] any way ukiamka asubuhi kunya glass moja ya maji yalio wekwa ndimu au limao tunda usiku usile sana vitu vya mafuta na sukari nyingi
Aiseee...Huo uvivu wakula hua mnautoa wapi jamani..mbona Mimi sinauvivu was kula..naweza kufunga nikiaamua ....ila kupiga pasi ndegu Ni shida.Niliposoma nikapima uzito nikiwa mtaani. Kudadadeki nina kilo 59 tu. Yani tangu mwaka juzi nimeongeza kilo moja. Tatizo langu ni kula kwa kulazimisha ona hadi mchana huu sijala. Tena hii kilo moja imeongezeka mwezi huu nilipoacha kupiga pasi ndefu, najua itakata ndani ya mwezi nikirudia pasi ndefu.
Sijawahi fikisha kilo 60. Kilo zangu ni 58 na ni mrefu sasa.
Mimi Ni Ke..Nina tumbo kuubwa, nimejaribu njia Tofauti Tofauti ila sijapata matokeo.
Nlikua nafanya mazoezi na nikipata matokeo chanya ..ila nikashtuka goti..nikifanya mazoezi linauma goti.
Je nitumie.njia gani.mbadala wa mazoezi ili nifikie lengo.
.nakosa confidence na hili tumbo langu.
N.B Picha Siwezi tuma kwa wale wapenda picha.
Punguza nyama choma na bia........
Situmii pombe kabisa Yaaani... Hata nyama choma Ni Mara Moja moja... Chakula changu main Ni wali harage mboga za majani...chai Andazi au chapati.
Mkuuu..hiyo hela sina kabisaaaaaa...Umeshindwa vyote karibu ujipatie DAGO GREEN Kwa tsh 100k ..[emoji4]
Hapo kwenye WALI, ANDAZI, CHAPATI ndio chanzo cha tatizo
Hii I can afford.Pilipimanga+ginger+cinnamon+honey+hot water ×3 per day
Ginger+garlic+lemon+honey ....chemsha ipoe vugu weka honey kunywa
Thank me later [emoji4]
Ntajitahidi kupungua wangaHapo kwenye WALI, ANDAZI, CHAPATI ndio chanzo cha tatizo
Basi pambana na hiyo ya juuMkuuu..hiyo hela sina kabisaaaaaa...
ukicheza mzk --mumeo ataonekana kama anasogeza frigi. mtu si mtu pipa si pipa au kafanye sajare tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....Mkuu imagine nikiwa Bibi itakuwaje..hehehe...kitambi Kama diaba.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...jamani hapo ntakuwa Kibonge. Kweli...Sajare napata wapi Dolla..wakati Mimi dhooful Hali.ukicheza mzk --mumeo ataonekana kama anasogeza frigi. mtu si mtu pipa si pipa au kafanye sajare tu
We ni modal bila shakaNiliposoma nikapima uzito nikiwa mtaani. Kudadadeki nina kilo 59 tu. Yani tangu mwaka juzi nimeongeza kilo moja. Tatizo langu ni kula kwa kulazimisha ona hadi mchana huu sijala. Tena hii kilo moja imeongezeka mwezi huu nilipoacha kupiga pasi ndefu, najua itakata ndani ya mwezi nikirudia pasi ndefu.
Sijawahi fikisha kilo 60. Kilo zangu ni 58 na ni mrefu sasa.