Pole sana aisee tumia green tea naskiaga wadada wanasema inasaidia au tafta Clean 9 ya forever living uwe kama Wema Sepetu wa sasa.Nawezana..Mkuu..Basi TU nikiona wadada kwa mitandao wanaflat tummy najiona Kama nakosoro flani hivi...Pia kiafya Sio nzuri..
uyo ndie mchawi mkuu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]....ntajutahidi kupunguza kula maadazi na chapati
Hii inaashiria janga flani[emoji16][emoji16][emoji16] ahsante kwa faraja hii ila unatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa
Alishasema mademu weusi maombi yao yatachelewa sana kupokelewa hapo kwenye kikao cha juzi na wajumbe 😂😂😂 tofauti na yale ya watoto weupe.Mweusi?!!! Yani wewe jiwe hawezi kukusikiliza shida zako[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahah Full andhas!😂😂😂Achana na maneno ya waswahili.mirungi ni miti ya peponi inaliwa ulaya na ulimwengune kote.
kulakitu shamba apunguze mwili.handas ikipanda dunia yote utaona niyako nawewe ndo malkia wa enzi na enzi.
Hahahah mume anasukuma simtank😂😂😂ukicheza mzk --mumeo ataonekana kama anasogeza frigi. mtu si mtu pipa si pipa au kafanye sajare tu
Halafu kula si tatizo sana, ishu ni shughuli gani huwa unafany baada ya kula. Au unatazama Sultani tu ukiwa juu ya kochi hadi unasinzia.Ntajitahidi kupungua wanga
Kitambi ni matokeo ya kula sana, yaani kula zaidi ya mahitaji ya mwili, over feed au kwa lugha nyepes Ulafi, au uroho, punguza kula, hayo mazoezi yanaweza yasikusaidie, nimeshaona mtu anafanya mazoezi halafu anakula sana, kitambi kitaenda wapi ?, pia nasikia kufany mazoez huwa kunaongza hamu ya kula, pungza kula halafu fanya kai nguvu kwenye jua kali kuanzia asubuhi mpaka jioni shinda kwenye jua na uhakikishe unatoka jasho mwil mzima kila siku utarudi hapa kunishukuruSitumii pombe kabisa mkuu... Nanyama hua nakula Mara mojamoja Sana... Kwetu Ni ma vegetarian..
Kwahio aendelee kula chapati na mandazi vyakula ambavyo vimebeba mafuta kwa wingi and still vyenyewe ni wanga. Yani bora hata ugali kuliko hayo makarangizoacha kula wali na ugali hayo mawanga ndo yanajaza tumbo lako dear
Aisee... shughuli za kunitoa jasho Ni chache Sana.... Hivyo nakua sedentary muda mwingiHalafu kula si tatizo sana, ishu ni shughuli gani huwa unafany baada ya kula. Au unatazama Sultani tu ukiwa juu ya kochi hadi unasinzia.
Acheni mazarau jamani...Hahahah mume anasukuma simtank[emoji23][emoji23][emoji23]
Ntamtafuta mjuba nimpe tenda.Fanya mapenzi Sana kila style hasa ya kuweka miguu juu alafu unajikunja
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Kalio lipo kuubwa TU...ila tumbo linaniharibiaKama kalio lipo proportional na tumbo hamna tatizo.
[emoji23][emoji23][emoji23]..Kuna tembo anakilo 84..Mkuu mbona unaleta madharau... Ila fresh tuHahahah mpaka sasa tofauti yako na tembo ni mkonga tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Tissue haiwi repaired na protein tupu. Ingekua hivyo steroids na HGH zingekua na protini tupu.Nimekusoma vizuri, na wala sijakukashifu, labda kama uniambie kukupa taarifa uwa hujui unachokula umechukulia kama kashfa
Kazi ya protein siyo kunenepesha mwili ni kajenga mwili, ku repair tissues, organs na mifupa, protein supplements mnazopewa ni kwa ajili hiyo ndio maana unaona misuli inakaa sehemu yake.
Ukizidisha protein pia utazidisha kitambi kwa maana chakula kikishaingia mwilini kinabadilishwa kuwa energy, ukishindwa kuitumia itabadilishwa kuwa mafuta na kuhifadhiwa na mwili kwa matumizi ya baadae. Ukisave hizo energy unakuwa na utajiri wa mafuta.
Cheki mabaunsa wanaoshinda gym ila bado wana vitambi.
Now am interestedKalio lipo kuubwa TU...ila tumbo linaniharibia
Sedentary lifestyle pia ndio iliniletea kitambi. Kilianzia chuo, asubuhi nakula roast ya maini, mandazi au chapati kisha natuama tu mda mwingi kwenye laptop na jf😎😎😎 kwisha habari yangu.Aisee... shughuli za kunitoa jasho Ni chache Sana.... Hivyo nakua sedentary muda mwingi
Picha ya kitambi mkuu haitokusaidiaKwa kweli uzi bila picha ni sawa na kunywa baltika ukitarajia ikupe stimu za chui lite [emoji28][emoji28][emoji28]!!! Tuma kitambi hicho tuone tunaanzia wapi