Nimekusoma vizuri, na wala sijakukashifu, labda kama uniambie kukupa taarifa uwa hujui unachokula umechukulia kama kashfa
Kazi ya protein siyo kunenepesha mwili ni kajenga mwili, ku repair tissues, organs na mifupa, protein supplements mnazopewa ni kwa ajili hiyo ndio maana unaona misuli inakaa sehemu yake.
Ukizidisha protein pia utazidisha kitambi kwa maana chakula kikishaingia mwilini kinabadilishwa kuwa energy, ukishindwa kuitumia itabadilishwa kuwa mafuta na kuhifadhiwa na mwili kwa matumizi ya baadae. Ukisave hizo energy unakuwa na utajiri wa mafuta.
Cheki mabaunsa wanaoshinda gym ila bado wana vitambi.