Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeisoma post yake na kuidismiss right away kutkana ujasiri wake wa ku ignore mambo muhimu kwa afya ya mtu aidha kwa kujua ama kutojua!so misleading in a certain way!Nani amekwambia Kukimbia ni zoezi la wanawake? Hivi unajua(jogging) kuwa kukimbia ni zoezi bora kuliko yote. Chuma kina hypertrophy muscle kwa wingi zaidi. Kuna watu wengi nawajua wanabeba vyuma na wanavitambi. Zungumza kiv ulicho na uhakika nacho! aceroty
Asante mzizimkavu ngoja nijaribu maana daah
haina madhara kabisa...hata me naitumia sana
Asante sana MziziMkavu maana wadada tumenenepeana mpaka nyama za mapaja na mskwapa zimebanana matokeo yake zinazalisha harufu
Tutajaribu tu ,
Yaani nakumbuka nilivyokuwa flat nikivaa nguo inakaa mahala pake
baada ya kujifungua hiyo mitori na supu loooh nguo zote zilinibana nikaona mmh sasa naelekea kubaya
Ila MziziMkavu nilifanya jambo moja toka March naona mpaka sasa nimepunguza Kg 9
ili katumbo bado kidogo itabidi nianze situp
green tea pia ni nzur ktk kupunguza unene na kitambi
Habarini wadau naamini hakuna lisiloshindikana katika jukwaa hili mi ni mdada mrembo tu ila Nina tumbo kubwa kidogo nataka niondoe kitambi kabisa tumbo langu liwe flat kama zamani naombeni msaada wenu wa mbinu za kutumia kumaliza hili tatizo.[emoji8]
Weka picha kwanza tuone mi kiasi gani uko effectedHabarini wadau naamini hakuna lisiloshindikana katika jukwaa hili mi ni mdada mrembo tu ila Nina tumbo kubwa kidogo nataka niondoe kitambi kabisa tumbo langu liwe flat kama zamani naombeni msaada wenu wa mbinu za kutumia kumaliza hili tatizo.[emoji8]