Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Jinsi ya kuondoa au kupunguza mafuta tumboni kwa wanawake (Vitambi vya kike)

Njia nyingine ya kupunguza tumbo(kitambi) ni mchanganyo wa asali+mdalasini.weka glas ya maji na kijiko cha mdalasini na kijiko cha asali ktk maji yenye uvuguvugu kidogo.kunywa asubuhi na jioni.muhimu usile chakula mpaka kushiba pia chakula cha usiku usile baada ya saa mbili ucku.mimi imenisaidia sana/QUOTE]
 
Somo zuri ila pia wapunguze na mabia na nyama choma maana dada zetu mmmh wanavitambi kuliko hata wanaume siku hizi.
 
Haya jinenepeeni tu akina dada. Wanaume wanawachukia sana na ukiachika usilie na ukiona mmeo anachepuka unyamaze maana umeyataka
 
Bila kusahau chakula cha usiku kiliwe mwisho saa 19:00

Sio kujisokomeza maugali saa nne usiku halafu ulale..hapo kitambi kitakuja tu
 
Maji ya uvuguvugu yanatenda miujiza. ...Nyama za uzembe zimeanza kuyeyuka
 
Njia nyingine ya kupunguza tumbo(kitambi) ni mchanganyo wa asali+mdalasini.weka glas ya maji na kijiko cha mdalasini ktk maji yenye uvuguvugu kidogo.kunywa asubuhi na jioni.

Nitajaribu hii Nashukuru sanaa ila hamna dalili za kitu chochote Kama Kuharisha au?
 
Njia nyingine ya kupunguza tumbo(kitambi) ni mchanganyo wa asali+mdalasini.weka glas ya maji na kijiko cha mdalasini ktk maji yenye uvuguvugu kidogo.kunywa asubuhi na jioni.

Mkuu tunashukuru ila hamna dalili yoyote kama kuharishaaa.? Na inapunguza tumbo tuu au mwili mzima?
 
Tupia na tips za kupunguza kalio! Maana wengine mmmh!
 
Kwa hiyo Viazi Vitamu na miogo hairuhusiwi?

Mie najua wali ,nyama choma ,beer ,supu supu ndio tatizo

asante kwa ushauri
 
green tea pia ni nzur ktk kupunguza unene na kitambi

Tutajaribu tu ,

Yaani nakumbuka nilivyokuwa flat nikivaa nguo inakaa mahala pake

baada ya kujifungua hiyo mitori na supu loooh nguo zote zilinibana nikaona mmh sasa naelekea kubaya

Ila MziziMkavu nilifanya jambo moja toka March naona mpaka sasa nimepunguza Kg 9
ili katumbo bado kidogo itabidi nianze situp
 
Last edited by a moderator:
Asante sana MziziMkavu maana wadada tumenenepeana mpaka nyama za mapaja na mskwapa zimebanana matokeo yake zinazalisha harufu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom