Jinsi ya kuondoa harufu pindi unapounguza wali

Jinsi ya kuondoa harufu pindi unapounguza wali

Prof sas

Senior Member
Joined
Jun 24, 2014
Posts
126
Reaction score
58
Habari wana JF Chef!

Tafiti zinaonesha ndoa nyingi zinavunjika majumbani na sababu ni wakina Mama na wakina Dada kilasiku kuunguza WALI, na sababu kubwa ni kushinda kwenye Tv , Vikoba , Upatu na magenge ya kusengenya watu mpaka jikoni anaunguza.

Sasa shosti zangu fatilia apo chini utengeneze heshima kwa mumeo au kwa familia yako....

Mahitaji
Kitunguu maji 1.

Pindi unapo gundua umesha unguza wali basi menya kitunguu chako vizuuuri na funua wali wako katikati na ukitie (kizima kizima), acha kwa muda wa dakika 10.

Wali wako upo safi sasa kwa wanafamilia kutengeneza shavu.

Aksante!
 
lazima ni apply hii
ntaunguza makusudi
 
Habari wana JF chef...

Tafiti zinaonesha ndoa nyingi zinavunjika majumbani na sababu ni wakina Mama na wakina Dada kilasiku kuunguza WALI, na sababu kubwa ni kushinda kwenye Tv , Vikoba , Upatu na magenge ya kusengenya watu mpaka jikoni anaunguza.

Sasa shosti zangu fatilia apo chini utengeneze heshima kwa mumeo au kwa familia yako....

Mahitaji.
Kitunguu maji 1.

Pindi unapo gundua umesha unguza wali basi menya kitunguu chako vizuuuri na funua wali wako katikati na ukitie (kizima kizima), acha kwa muda wa dakika 10.

Wali wako upo safi sasa kwa wanafamilia kutengeneza shavu.

...Aksante...

Safi sana. Je kwa kuondoa harufu kwa maharagwe yalioyoungua unafaje kuondoa harufu.?!
 
Wapishi wa majungu makubwa ya biriani huona wanaweka mkaa mmoja kwenye sufuria ya wali kwa kuletesha harufu nzur!
 
Ndoa zinavunjika kisa wali kuungua?? Hii ni shida basi.
 
harufu ya wali kuungua + harufu ya kitunguu lazima tukushktukie tu!
 
Shoga hiyo ya mkaa hata mimi naweka kwenye kuku wa tandoor nkimchoma kwa grill huwa nataka anukie kama nimemchoma kwa mkaa.....ntarudi nkuambie step by step

Thanks we just waiting for it Miss Farkhina...
 
Back
Top Bottom