Jinsi ya Kuondoa weusi katikati ya mapaja na kwapa

Badilisha mtindo wa unyoaji
Apply alovsra gel dk5 before kushave ukishashave nawa vizuri jikaushe pakaa alovera gel au After shave yenye alovera ndani yake.
 
Si uache kunyoa sasa, kama inaleta shida fugaπŸ˜…πŸ˜…
 
Badilisha mtindo wa unyoaji
Apply alovsra gel dk5 before kushave ukishashave nawa vizuri jikaushe pakaa alovera gel au After shave yenye alovera ndani yake.
[emoji4]
 
Badilisha mtindo wa unyoaji
Apply alovsra gel dk5 before kushave ukishashave nawa vizuri jikaushe pakaa alovera gel au After shave yenye alovera ndani yake.
Mwanaume afanye yote hayo? Si dalili za uchoko hizo
 
Achana na kunyoa kwa viwembe bhana,
Nunua mashine ya umeme kunyolea,
Sasa mtoto wa kiume unajikwangua na kiwembe mpaka panakuwa kama tako unatafuta nini?
Ndio maana unaota mapele ingekuwa wenyewe Ke wala hata mapele yasingetoka,
Nunua mashine mkuu utanishukuru
 
Ndio mana wachina wameamua kubaki nayo si wake/si waume wote na walivyojaaliwa nywele sasa full misitu sijui hawawashwi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tabu ya nini nunua shampoo, fuga rasta mavuzi,

Huwezi shindana nao ungana nao [emoji23]
 
Ndio mana wachina wameamua kubaki nayo si wake/si waume wote na walivyojaaliwa nywele sasa full misitu sijui hawawashwi [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe umejuaje jambo kama hilo ?
 
Hakuna Daktari atakutibu BILA KUONA, isipokuwa tu wapiga ramli.WEKA PICHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…