Jinsi ya Kuondoa weusi katikati ya mapaja na kwapa

Jinsi ya Kuondoa weusi katikati ya mapaja na kwapa

Tumia shaver ya gillete yenye ki rubber hv pembeni ya kiwembe, ni nzuri sana inauzwa elf 10. Ukimaliza kushave nawa na maji safi, kausha kisha paka mafuta ya nazi, paka mafuta ya nazi mara kwa mara inasaidia kuondoa ukavu na miwasho
 
Nyoa kuelekea chini hiyo itasaidia kutosisimua shina la nywele, hutopata mapele pindi nywele zikiota
 
Tumia shaver ya gillete yenye ki rubber hv pembeni ya kiwembe, ni nzuri sana inauzwa elf 10. Ukimaliza kushave nawa na maji safi, kausha kisha paka mafuta ya nazi, paka mafuta ya nazi mara kwa mara inasaidia kuondoa ukavu na miwasho

Hatua za awali za kujichukulia sheria mkonon
 
Unanyolea na mashine ipi? Tumia hizi hapa. [emoji116]
JPEG_20220416_212439_5601294558748500523.jpg
 
Kama unaangalia wewe ni wewe. Usilazimishe unachofanya wewe na wengine wanafanya. Acha ujinga
bora ungesema hujawahi kuzipenda na sio hujawahi angalia, ukimiliki sim kubwa then usikutane na porn video labda uwe kipofu
 
Natumai hamjambo wakuu.

Wakuu jana nilikua napiga mastory na dada mmoja ambae ni rafiki yangu, nikamuuliza je weusi wa mashavu ya papa kwa baadhi ya wadada husababishwa na nini? Akacheka kidogo then akajibu, "mwanamke yeyote aliye under 35 akiwa na huo weusi ujue anatumika sana na wanaume tofauti tofauti but akiwa over 35 ni kawaida"

Nawauliza wadada wa huku ndani, je haya majibu yana ukweli ndani yake au huyu dada alikuwa anazuga tu?
Mikorogo.
 
Sisi weusi ulitaka tuwe na Papa jeupe la kizungu, hyo kitu haina Cha umri Wala Nini, pia mapajani wanawake huchubuka msuguano wa mapaja ndio Kuna kuwa kweusi na sio umri. Ni Kama kwapa linavokuwa jeusi
Oga kwa kutumia kitaulo kujisuguwa na Sabuni huwezi kuona huo weusi, na hali ya hewa kama inaruhusu na una access uwe unaoga maji moto.
 
Natumia topaz na ni cheusi mangala mbona huwa sipati huo weusi kuko kawaida tu wallah.
Siwezi mwachia mtu anichungulie hata akiwa mume aisee never
Ebu nipaone

404: Page Not Found
 
Back
Top Bottom