Jinsi ya Kuondoa weusi katikati ya mapaja na kwapa

ndimu ipi unayoisemea maana kuna ile ndimu ambayo inapatikana madukani iko kama chumvi kwenye vipakti au wasemea ndimu ile og kama limao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nauona huo udambwidambwi kwa huyu ibilisi,sasa huyu nae anahitaji msaada wako Madam mleta uzi


ila huyu wa chini mbona hana huo udambwidambwi


ila napenda kutoa wito tafadhalini CHAPUTA sijawawekea nyie hizi picha
 
Natumai hamjambo wakuu.

Wakuu jana nilikua napiga mastory na dada mmoja ambae ni rafiki yangu, nikamuuliza je weusi wa mashavu ya papa kwa baadhi ya wadada husababishwa na nini? Akacheka kidogo then akajibu, "mwanamke yeyote aliye under 35 akiwa na huo weusi ujue anatumika sana na wanaume tofauti tofauti but akiwa over 35 ni kawaida"

Nawauliza wadada wa huku ndani, je haya majibu yana ukweli ndani yake au huyu dada alikuwa anazuga tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…