Jinsi ya Kuondoa weusi katikati ya mapaja na kwapa

Jinsi ya Kuondoa weusi katikati ya mapaja na kwapa

Sisi ambao hatujaanza mapenzi ngoja tuchukue maujuzi hapahapa, huenda tukakutana nazo siku za usoni hizo papa nyeusi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
dah! Mkuu
 
Hili ndio jibu zuri. Kama mapaja yakisuguana yanakua meusi basi na mashavu yakisuguliwa sana yana kuwa meusi
Utasuguaje hyo kitu mbona Kuna watoto Wana weusi na hawajasuguliwa?
 
Ni hivyo hivyo hata kwetu wanaume - weusi na wazungu. Maeneo ya kwenye perinium (huko unakoita papa) huwa yana rangi nyeusi zaidi (melanin) kuliko sehemu nyingine. Ndivyo alivyoumba Muumbaji.
 
Ni hivyo hivyo hata kwetu wanaume - weusi na wazungu. Maeneo ya kwenye perinium (huko unakoita papa) huwa yana rangi nyeusi zaidi (melanin) kuliko sehemu nyingine. Ndivyo alivyoumba Muumbaji.
Mkuu huwa unachapa papa kweli? Kuna papa zinashavu nyeusi na mikunyanzi hatari....
 
Jitizame mwenyewe kama una muda huo, utaona perinium yako ni nyeusi zaidi kuliko sehemu nyingine za mwili. Kazi rahisi...
Mkuu huwa unachapa papa kweli? Kuna papa zinashavu nyeusi na mikunyanzi hatari....
 
Siangalii kabisa na sijui hizo site, na sijawahi furaishwa au kupenda hizo video ka mnavokuza hazina jipya
bora ungesema hujawahi kuzipenda na sio hujawahi angalia, ukimiliki sim kubwa then usikutane na porn video labda uwe kipofu
 
Shida ya papuchi za kiswahili husababishwa na wembe wa TOPAZ.Mbunye lazma ikomae tu mixer vipele kabla havijakauka anavikuna sasa ulitaka iwe na rangi gani?
 
Back
Top Bottom