NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Rais ajayeWakuu
Fanyeni hivi
.chukua ndizi Saba au nane zilizoiva kabisa.
KWA kusoma
Naongeza manii huku!nikishika hatamu ni titrate VIZURI!Rais ajaye
Unawatumia vilaza kufanya utafiti wako feki, eti eenh?Wakuu
Fanyeni hivi
.chukua ndizi Saba au nane zilizoiva kabisa.
Mi sikudanganyi uhakika!!ndizi Zina base iitwayo ester kama UNAKUMBUKA organic chemistry ya o level au advance!!ndio maana ya ile harufu ya ndizi ni harufu ya ester!!! esterification!!!Acha ujinga wewe
Rangi itaonekana kwenye maji!!ndizi zilizoiva na kuwa njano kabisa Man!!Zile ndizi za njano maganda yake baada kuiva. Je nitangundua vipi yamechemka nakua njano
Jaribu na wewe u squirt !!Unawatumia vilaza kufanya utafiti wako feki, eti eenh?
Wale wanaoenda raundi ya pili na kuhisi MAUMIVU FULANI hivi hata kutoa maji kidogo wananielewa VIZURI Sana!!Kuna faida gani mtu kuwa na manii mengi au ndio mbinu za kupotezeana muda na kuongeza idadi ya masikini nchi hii....
Yajue ya kuzingatia mkuu.
Kunywa maji ya ndizi yaliyo chemshwa Mkuu!!jaribu uone!!!Badala ule ndizi yenyewe wewe unakula maganda!
Kuongeza maniii kula
1. Ndizi zilizoiva
2. Korosho
3. Karanga
4. Parachichi
5. Mbegu za maboga
6. Ufuta
7. Kweme
Acha huu ujinga wa huyu mtu, sasa kitaalamu maganda ya ndizi yanachangia nn kwenye manii? Mtalishwa mpaka mavi.Inaongeza kwa muda gani?
Labda mnaelewanaWale wanaoenda raundi ya pili na kuhisi MAUMIVU FULANI hivi hata kutoa maji kidogo wananielewa VIZURI Sana!!
Wazo zuri sana. Hivi vingine ni kwenda kuchafua mashuka tu.Kuna faida gani mtu kuwa na manii mengi au ndio mbinu za kupotezeana muda na kuongeza idadi ya masikini nchi hii....
Yajue ya kuzingatia mkuu.