NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
- Thread starter
- #21
Kuna watu Wana tatizo la low semen na low sperm count after more than one round are my targets!Labda mnaelewana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu Wana tatizo la low semen na low sperm count after more than one round are my targets!Labda mnaelewana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] loooo!Mi sikudanganyi uhakika!!ndizi Zina base iitwayo ester kama UNAKUMBUKA organic chemistry ya o level au advance!!ndio maana ya ile harufu ya ndizi ni harufu ya ester!!! esterification!!!
Unaenda kula maganda unaacha ndizi yenyeweKunywa maji ya ndizi yaliyo chemshwa Mkuu!!jaribu uone!!!
Okay doctorKuna watu Wana tatizo la low semen na low sperm count after more than one round are my targets!
MkuuAcha huu ujinga wa huyu mtu, sasa kitaalamu maganda ya ndizi yanachangia nn kwenye manii? Mtalishwa mpaka mavi.
Ishu kubwa kwenye manii au via vya uzazi ni vyakula vya protini, kula vyakula vya protini vya kutosha. Manii hutengenezwa na protini zaidi. Mfano wa chakula hicho ni samaki, huoni watu wa visiwani au pwani wengi ngono ni shughuli.
Ukifanya tafiti za kisayansi utapata majibu halisi yenye sababu kuntu. Mtakuja lishwa visivyoliwa.
Wakuu
Fanyeni hivi
.chukua ndizi Saba au nane zilizoiva kabisa.
.zioshe kwanza kwa maji Safi.
Menya (toa maganda) halafu hayo maganda weka kwenye sufuria Safi,weka maji kwenye sufuria kama lita Moja hivi!
.Chemsha mchanganyiko wa maji na maganda hadi uchemke kama chai Hadi maji yabadili rangi na kuwa kama njano hivi!!
.Ipua mchanganyiko wako na uache upoe KWA dakika kadhaa uwe vugu vugu kunywa nusulita ya mchanganyiko huo wakati wa jioni Baada ya kula na kesho asubuhi Baada ya kuswaki.
Matokeo itapata ndani ya muda mfupi Sana!!!
Sio kwamba utapiga bao zito tu bali uta titrate kabisa!
Kama ni mwanamke uta squirt yaruke Hadi sebuleni!!
Jaribu unipe mrejesho
Asanteni
KWA kusoma
Kweme ndiyo nini Chifu [emoji848]Badala ule ndizi yenyewe wewe unakula maganda!
Kuongeza maniii kula
1. Ndizi zilizoiva
2. Korosho
3. Karanga
4. Parachichi
5. Mbegu za maboga
6. Ufuta
7. Kweme
ngoja nijaribuHapa kuna wana wataingia kingi wallahii[emoji23][emoji23][emoji23]
ngoja nijaribu