Jinsi ya kuongeza manii

Mkuu
Manii yana semen
Ambayo ni basic

Ndizi Zina base kibao ile ester !!

Hakuna uchafu hapo!!
 
Embu ngoja nijaribu kesho alafu nilete mrejesho
 
Unatumia kwa siku moja ama?
 
Badala ule ndizi yenyewe wewe unakula maganda!

Kuongeza maniii kula

1. Ndizi zilizoiva
2. Korosho
3. Karanga
4. Parachichi
5. Mbegu za maboga
6. Ufuta
7. Kweme
Kweme ndiyo nini Chifu [emoji848]
 
Na sisi ambao hatutaki kutoa manii kabisa tunaotaka tusugue tu,tutumie magadi na nini mkuu?[emoji851]
 
Kuna watu watakifanya hiki Mkuu ,so! kama ni kamba hii Mungu anakuona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…