Jinsi ya kupaka "make up"kama za wakina lulu/wema

Jinsi ya kupaka "make up"kama za wakina lulu/wema

tya02

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2014
Posts
850
Reaction score
1,061
Habari zenu ,
Mim naomba kujuzwa jinsi gani wanavyopaka "makeup" hawa warembo wetu wa Tz, na ni vitu gan haswa unatakiwa uwe navyo mf.foundation na vingine ambavyo mnajua wataalam wa sekta ya urembo, tujuzeni tafadhali maana naona wengine tunapaka lakin hatufanani na hao ma super star.
asante
 
Usiwe na wasi

Kama unaweza kuingia youtube kuna wanawake wengi haswa wa nchi za nje wanaonyesha step zote na vifaa na kila kitu...wanafundisha tena.

Utajionea na kujifunza kwa muda wako kwa chochote unachotaka uwe.

Usisahau pia picha unazoziona wanabadilisha na kusaidiwa na apps au canera360 kutoka walivyo huku wengine hata makeup ni ya kawaida tu. Ukiwaona uso kwa uso siku hiyo hiyo wamepiga picha walizorusha utataka kukimbia.
 
Usiwe na wasi

Kama unaweza kuingia youtube kuna wanawake wengi haswa wa nchi za nje wanaonyesha step zote na vifaa na kila kitu...wanafundisha tena.

Utajionea na kujifunza kwa muda wako kwa chochote unachotaka uwe.

Usisahau pia picha unazoziona wanabadilisha na kusaidiwa na apps au canera360 kutoka walivyo huku wengine hata makeup ni ya kawaida tu. Ukiwaona uso kwa uso siku hiyo hiyo wamepiga picha walizorusha utataka kukimbia.
Asante my dia,
Nimeshaangalia ila natamanig sana kujua vile vikorombwezo wanavyotumia maana unaweza kuta wamepaka layer kama tatu hivi hahahaha hyo madude ndio nayatak hayo haha
 
Usiwe na wasi

Kama unaweza kuingia youtube kuna wanawake wengi haswa wa nchi za nje wanaonyesha step zote na vifaa na kila kitu...wanafundisha tena.

Utajionea na kujifunza kwa muda wako kwa chochote unachotaka uwe.

Usisahau pia picha unazoziona wanabadilisha na kusaidiwa na apps au canera360 kutoka walivyo huku wengine hata makeup ni ya kawaida tu. Ukiwaona uso kwa uso siku hiyo hiyo wamepiga picha walizorusha utataka kukimbia.
its true nilimuonga lulu Siku moja loohh!!

sio mzuri wa sifa jamani!!
 
its true nilimuonga lulu Siku moja loohh!!

sio mzuri wa sifa jamani!!

Ni kweli kabisa ukiwaona hata baada ya sekunde ya kuona picha imerushwa... ya mtandaoni wengi hawana pesa ya makeup za nguvu ni ile kuvizia kulipiwa au vya dezo. Hivyo siku zingine muhimu camera na ku edit kuwaweke katika ramani kudanganya.
 
Ni kweli kabisa ukiwaona hata baada ya sekunde ya kuona picha imerushwa... ya mtandaoni wengi hawana pesa ya makeup za nguvu ni ile kuvizia kulipiwa au vya dezo. Hivyo siku zingine muhimu camera na ku edit kuwaweke katika ramani kudanganya.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]m mwenzenu sipend ku edit najiona kama nakua mbaaa
 
wanawake mnaenda too speed mbona sisi wala hatutaki vitu vingiiii
 
Hapana yaan mara najiona napauka zaid,mara najiona nakua mwekundu, mara giza[emoji28][emoji28]

Haha haa

Utafika tu ukipatia inayokupenda na moisturiser ni muhimu kuipata itakayokufaa inakalisha makeup vizuri sana.
 
Back
Top Bottom