tya02
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 850
- 1,061
- Thread starter
- #21
Hahaa unajua sijajua kinachohitajika kw mfano nilishawah kupambw kweny harus moja ila sikupendeza kwakwel maana nilikua wanjano [emoji28][emoji28][emoji28]Haha haa
Utafika tu ukipatia inayokupenda na moisturiser ni muhimu kuipata itakayokufaa inakalisha makeup vizuri sana.
Yule dada alianz kutupaka manjano baad y hapo akafat poda sijui basi naona akamaliza[emoji34][emoji34][emoji34]ila wengine naona wanapakwa layer kama mbil hvi au tatu haaha i wish nijue ni nin wanaanza na kip kinafata yaani nikivijua nitanunua kimoja kimoja mpk nianze practise home hahaha