sijui jinsi ya ku-downloading using youtube zaidi kuview tu!
ni nini hiyo hapo kwenye Avator mbona engaree hivyo, maji ya kunywa hivyo?Mambo vipi mkuu za siku???????
Hapa inanibidi nikupe msaada!
ni nini hiyo hapo kwenye Avator mbona engaree hivyo, maji ya kunywa hivyo?
ng'ombe ngapi nilete?
napotea sana wewe, Wera ari yu!
embu explain the know how!Tumia youtube ndo mpango mzima
yeyolai ni wa kule kwa Obama nini?Mwanao huyo!!
Mkuu kijiwe ni hiki hiki sema tu mabenchi ndo tofauti.
yeyolai ni wa kule kwa Obama nini?
mbona huo msaada Mkuu siupati au umeenda kuuchukua Simanjiro?Mwanao huyo!!
Mkuu kijiwe ni hiki hiki sema tu mabenchi ndo tofauti.
mbona huo msaada Mkuu siupati au umeenda kuuchukua Simanjiro?
sina mkuu!Nimekuuliza swali hapo juu.
Una downloader kwenye pc yako!
sina mkuu!
Hello! Naomba msaada kwa anaejua jinsi ya ku-download video youtube anifafanulie maana nina ujuzi mdogo ktk IT