Download kirahisi kwa kuweka neno ss baada tu ya www....Wakuu mimi shida yangu naomba mtu anayefahamu programme inayoweza kudownload youtube video kwenye kompiuta yangu anisaidie. Mwanzo nilikuwa natumia ummy video downloader lakini imegoma kupakua video kama mnayoona kitufe cha dowload kimefifia:
View attachment 466893
Asante sana mkuu. Wabejha sana Nkhoi!Download kirahisi kwa kuweka neno ss baada tu ya www....
Yaani fungua video unayoitaka kwenye youtube halafu pale ju kwenye adress bar kwenye link ya youtube ongeza hizo herufi ss mara tu baada ya www dot itakupa option ya kudownload na pia ukitaka itakupa option ya kuinstall extension ili uwe unadownload kwenye youtube site bila kuweka hizo ss
Wakati una search video anza na SS. MfanoWakuu mimi shida yangu naomba mtu anayefahamu programme inayoweza kudownload youtube video kwenye kompiuta yangu anisaidie. Mwanzo nilikuwa natumia ummy video downloader lakini imegoma kupakua video kama mnayoona kitufe cha dowload kimefifia:
View attachment 466893
Kwenye cm,,ingia google andika TUBEMATE, then itakupa muongozo wa kudownload hyo program,,,,ila ukiingia playstore ukisearch huikuti,so tumia google kusearchWana jf nisaidieni how to download videos from you tube kwa android.
Plzz.. Ninahangaika na hilo jaman
Wakuu mimi shida yangu naomba mtu anayefahamu programme inayoweza kudownload youtube video kwenye kompiuta yangu anisaidie. Mwanzo nilikuwa natumia ummy video downloader lakini imegoma kupakua video kama mnayoona kitufe cha dowload kimefifia:
View attachment 466893
Nenda kwenye website yao utapata option ya kudownload hiyo tubemate au videoder. Hizi ziko poa sana.Wadau nauliza ni app gani nzuri au ambayo ipo updated kwa sasa kwa ajili ya kudownload videos za YouTube.Zamani nilikua natumia TubeMate lakini kwa sasa haipatikani tena kwenye Playstore wala Appstore.
Videoder iko vizuri sanaWadau nauliza ni app gani nzuri au ambayo ipo updated kwa sasa kwa ajili ya kudownload videos za YouTube.Zamani nilikua natumia TubeMate lakini kwa sasa haipatikani tena kwenye Playstore wala Appstore.