La Pronto
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 973
- 1,159
Kwema wakuu??
Tangu juzi najaribu kudownload vitu youtube inagoma kabisa....me natumia snaptube kudownload..
Je hili ni tatizo kwa wote au ni mimi tu na device yangu....au kuna app ingine naweza kuitumia...
Msaada wenu wajuzi wa mambo.
Asante.
Tangu juzi najaribu kudownload vitu youtube inagoma kabisa....me natumia snaptube kudownload..
Je hili ni tatizo kwa wote au ni mimi tu na device yangu....au kuna app ingine naweza kuitumia...
Msaada wenu wajuzi wa mambo.
Asante.