Mke mwenza hebu mbane yule jamaa angalau store uihamishie sebuleni.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu nimecheka sana maana chumba changu kama chako sema mi bodaboda sina
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipendacho roho.Hii ndio rangi ya bedroom yangu...wengi wananishangaa kwa hii rangi!
Nikiiona nini?Kipendacho roho.
Ukiiona inakupa picha gani?
Hiyo rangi.Nikiiona nini?
Hehehe kinanitosha hivihiviMke mwenza hebu mbane yule jamaa angalau store uihamishie sebuleni.
Acha umbu mbu mbu wewe silaha muhimu kamuukize gwajima!mbushuu kwanza pole sana halafu huyu zomboko ni mkristo kwa hiyo panga lake na nondo ni YESU
[emoji23] [emoji23] ye alishindwa nini kuniongezeaNdio maana Kaboom alikimbia aisee!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mbahiri yule mwanaume acha kabisa, ila sio kwa binti yake Heaven Sent.
Hahaha sasa kama anazo za kumtosha yeye na binti yake si akae ndani atulieMbahiri yule mwanaume acha kabisa, ila sio kwa binti yake Heaven Sent.
Hawezi kutulia as anahitaji ile basic need.Hahaha sasa kama anazo za kumtosha yeye na binti yake si akae ndani atulie
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo aache ubahili sasaHawezi kutulia as anahitaji ile basic need.
Labda tusubirie azeeke.