Sosthenes Manumbu
Member
- Aug 24, 2015
- 40
- 13
Kweli mkuu hivi hili tofali linaweza kugharimu kama shilingi ngapi kulitoa? Kibongo bongo
Plan kama hii inafaa kwa vijana tunaoanza maisha ila maBachelor tu.
Ndo mana nilisema nije kujitambulisha kwenu tuache kuishi kibachelor[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu nimecheka sana maana chumba changu kama chako sema mi bodaboda sina
Sent using Jamii Forums mobile app
Ee twende basi lini uko tayari?Ndo mana nilisema nije kujitambulisha kwenu tuache kuishi kibachelor
Pacha usinisahau.
Hata Leo Niko tayari
Sijui nisemaje naipenda tu. Ina utulivu fulani hivi amazing.Hiyo rangi.
Nipe taratibu za kwenu kama nataka nitoe mahari
Taratibu za kwetu kama za kwenu tu kwa hiyo njoo unavyojua weweNipe taratibu za kwenu kama nataka nitoe mahari
Njoo inbox tupange safari
Okey, kama kwako ina utulivu basi haijalishi wengine wanaichukuliaje. Rangi huwa zinazungumza, kwahiyo vile inazungumza nawe ndio muhimu.Sijui nisemaje naipenda tu. Ina utulivu fulani hivi amazing.
Wewe rangi inakupa picha gani?Okey, kama kwako ina utulivu basi haijalishi wengine wanaichukuliaje. Rangi huwa zinazungumza, kwahiyo vile inazungumza nawe ndio muhimu.
Rangi gani?Wewe rangi inakupa picha gani?
Hii ninayoipenda mimi.....light charcoalRangi gani?
Inanipa picha ya simanzi, huzuni,upweke.....na vitu kama hivyo.Hii ninayoipenda mimi.....light charcoal
Aisee....naipenda sana, sipendi bright colorsInanipa picha ya simanzi, huzuni,upweke.....na vitu kama hivyo.
Ndio maana nikakwambia inategemea vile rangi inaongea nawe, ndio maana unaweza shangaa mtu kupaka rangi fulani, kumbe kwake ina maana tofauti kabisa.