Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.

Hongera sana kaka.
Nakutakia kila la kheri, I will say a prayer for you in a few minutes to come. Mungu akusimamie ndoto zako. Ushauri uliopewa umetosha. Usisahau ulikotoka, zingatia kila mtu ametoka kwao ana anajua kaandaliwa nini. Usiige tembo kunya, utapasuka msamba.
 

Obviously GPA ya 5 hutapata, kulingana na historia yako...lakini komaa, piga msuli kama wa form six, tafuta discussion groups za watu wenye akili timamu..epuka vitu kama hivyo hapo kwenye red, hudhuria vipindi vyote na ukae mbele..zaidi sana mtangulize Mungu,,atakutuliza akili
 

zamani kule o level nilikuwa nikidharau marks au masomo fulani ila kaka umenikumbusha Mungu anisaidie sitakosa hata kwenye 1+[_]=2
 
Rule 1: Go do what you are supposed to do, not what you want to do.
Rule 2: Rule 1 shall always prevail, mutatis mutandis!

Ahsante, masomo mema.

asante kaka ila hiyo mutandis sijailewa.
 
Rule 1: Go do what you are supposed to do, not what you want to do.
Rule 2: Rule 1 shall always prevail, mutatis mutandis!

Ahsante, masomo mema.

Nimeipenda hii....hiyo mutatis mutandis bila shaka ni kama cetiris paribus
 
Mtegemee MUNGU wa KWELI katika kila jambo,
Kumbuka kuomba/kusali siku zoteza maisha yako,
Fuata kwa usahihi ratiba zote za chuo,
Achana na maisha ya UJANA na ambayo hukuyazoea i.e USHARO
Hakikisha kila course work,quiz,test na exams unafaulu kwa kiwango cha JUU,
Then, mshukuru MUNGU kwa kila jambo.
Hapo utafanikiwa
 
Nami Nimejifunza kitu kupitia thread hii....sasa kazi ni kwangu tu...stay blessed jf members
 
Nami nawashukuru wote mliotoa ushauri kwani nami pia nimepata muongozo fulani. Asanteni
 

Be carefully kwanza tambua sio kwamba utakuwa unapata hiyo millioni nne mkononi kabisa. Ninachofahamu ni kuwa,hapo bodi ya mikopo wameweka na ada. Hivyo basi wewe urakuwa unapokea kiasi cha pesa ambacho ni kwa ajili ya chakula,malazi na stationary. Na kwa sasa ni shs laki tisa kwa semester. Sasa basi utakapopata hiyo pesa hakikisha unatenga kwa ajili ya chakula na kulipia malazi. Kwa sababu vitu vikubwa muhimu sana chuoni ni kupata chakula na kuweza kulipia pa kulala. Alafu hakuna ukweli kuwa ukipata GPA kubwa unaweza ukabakishwa chuo,kwa sasa kama unataka kuwa Lecturer unaomba ajira kama mtu mwingine yeyote. Siri ya kufanikiwa ni kusoma.
 
kufaulu vyuo inabidi ufuate huu mwongozo-pray hard,study hard,work hard then kufaulu kwako ni guarantee.
 
1. Ukifika chuo chakwanza tafuta kadi ya CCM...
2. Soma tu kile unachofundishwa, usijidai kichwa uanze kutafuta sources nyingine za materials. Hata kama mawalimu
anatumia slides, komaa na hizo hizo.
3.Solve as many past paperz as possible cuz walimu wengi wa chuo ni wavivu kutunga maswali mapya
 
Nimeipenda hii....hiyo mutatis mutandis bila shaka ni kama cetiris paribus

Mutatis mutandis si sawa na ceterius paribus ,ila ungesema ni terms ambazo zipo ktk field moja ya economics,ceterius par-means other things being constant/same,while mutatis mutandis-imply that ,certain thing happen because of appearance of certain situatim.hiyo ni maana rahisi ili kumwezesha layman aelewe maana ya hz terms.
 
Cha muhimu chuo demu wa professor muogope kama ukoma .. hilo tu ndio nyongeza yangu kwako
 

thank you for your prayer lakini GPA hiyo sio lazima iwe 5 hata ikipungua point kidogo lakini kilicho cha muhimu ni kutoka kikamilifu ktk hayo masomo ya chuo.
 
nimepata kitu...hongera kwa mleta mada..hongera kwa wachangiaji...jf forever...
 
zamani kule o level nilikuwa nikidharau marks au masomo fulani ila kaka umenikumbusha Mungu anisaidie sitakosa hata kwenye 1+[_]=2

Asante Kiny, Me i'l b prayn 4u na wote wanaoanza maisha ya Chuo, Mungu atawaongoza tu, Trust him.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…