Jinsi ya kupata GPA kali, kuepuka supplementary na jinsi ya kutodisco chuoni.


thanx much av gain some thng
 
Hongera mkuu, km unataka kuwa lecturer lazima msako wa masters ufanyike, najua huwezi kuwa limbukeni wa loan kwa ujumla coz size ya members wa familia yako, hali ya maisha ya home na maamuzi yako ya mwisho yamekufanya uwe hapo, take care coz kazi ipo. Mungu akupiganie"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…