Hayo huwa mavitabu wanasoma wazungu .kuna muafrika anakosa marafiki?? Mm nilienda Minneapolis kwa mshikaji wangu aliuza madin akaita Wana kama wawili sasa nkakaa mwezi nkawa daily nakunywa baa moja mtaani asee wazungu walinikubali balaa nkawa naandaa ma house party mpaka majiran walikuwa hawajuani walijiania mm .Sisi tumekalia na mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.