Piga pamba safi kawaida tu afu jipulizie perfume nzuriii, omba IST au kagari gari then pita hapo utanishukuru 😅😅😅😅😅😅😅Nipo hapa mitaa ya cbe nimesimama ninaona wasichana warembo wakipita na nina watamani sana,siwezi msimamisha mbele ya watu wengi ila kuongea naye naweza….Je njia gani nzuri wakuu wa mambo bila kuaibika maana sipendi aibu au kama kuna njia nyingine tupeni hapa
Una ndinga au unapekua kama kuku? Wale watoto wanapenda ndinga kali...wanapenda show off utafikiri wamezaliwa kiwanda cha JeepNipo hapa mitaa ya cbe nimesimama ninaona wasichana warembo wakipita na nina watamani sana,siwezi msimamisha mbele ya watu wengi ila kuongea naye naweza….Je njia gani nzuri wakuu wa mambo bila kuaibika maana sipendi aibu au kama kuna njia nyingine tupeni hapa
Hahaha utatumia nguvu kubwa sana kama mgonga mawe.Peku mkuu
Halafu unanuka jasho na viatu vina vumbi.... Ushauri wa bure, wahi Mwananyamala kwa wahaya.Peku mkuu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Halafu unanuka jasho na viatu vina vumbi....
Ushauri wa bure, wahi Mwananyamala kwa wahaya.
Au waonyeshe kadi ya ccm🤣🤣🤣Dar mkuu
hii ipo sehem gani, kutokea kigamboniHalafu unanuka jasho na viatu vina vumbi.... Ushauri wa bure, wahi Mwananyamala kwa wahaya.
Unao wahonga chips, mayai nao ni Malaya. Malaya ni yule yoyote anayekupa utelezi kwa kubadilishana na kitu au pesa au favour.Haitatikea nikanunua malaya