Jinsi ya kupata mtaji kupitia boom la chuo

Hongera sana mkuu kwa kulijua hilo kwa maana ata mimi nikupitia mada za humu ndani nilitaman sana nitakapofanikiwa kupata mkopo nitauendeleza na kweli nmefanikiwa lakin mm nmewekeza kwenye kilimo na nmeamua kuanza tu na boom hii ya kwanza kwaiyo natarajia kuleta mrejesho baada ya mavuno ya kwanza na mrejesho wa jumla 2020
 
Ongera ndugu mi la kwanza limeyumba kidogo ila tutaonana kwenye kilimo hiyo ndio focus yangu kuu
 
Ongera ndugu mi la kwanza limeyumba kidogo ila tutaonana kwenye kilimo hiyo ndio focus yangu kuu

Pamoja sana kwa maana me nmeletwa chuo kuripo na kaka angu kwaiyo ye yupo mwaka wa tatu kwaiyo imenipa urahs wa mahitaj na kujikuta nabakiwa na pesa za kutosha kuwekeza yan
 
Mimi nilijikusanya kwanzia mwaka wa pili mwishoni,nikawa silipi ada nayopewa home.Nikakusanya kama bumu 2 pamoja na ela ya field.

Kilichofata ni history....Nililala mbele.Nampaka sasa sijawai kujuta na siji kujuta until die.
 
Mimi nilijikusanya kwanzia mwaka wa pili mwishoni,nikawa silipi ada nayopewa home.Nikakusanya kama bumu 2 pamoja na ela ya field.

Kilichofata ni history....Nililala mbele.Nampaka sasa sijawai kujuta na siji kujuta until die.

Dah hongera mkuu ivi ulitumia njia ipi kuchomoka ebu tupeane maujuzi
 
Mimi nilijikusanya kwanzia mwaka wa pili mwishoni,nikawa silipi ada nayopewa home.Nikakusanya kama bumu 2 pamoja na ela ya field.

Kilichofata ni history....Nililala mbele.Nampaka sasa sijawai kujuta na siji kujuta until die.
Ulikuwa unapataje boom bila kulipa ada mkuu?
 
hadi saiz unashingp mkuu
 
Ukisikiliza maneno ya watu hutafanya kitu chochote cha kukuletea maendeleo. Watu wanalazimisha kukosoa hata maandishi wakati kaelewa ulichomaanisha.
Nataka kukutia moyo tu kwamba hilo wazo lako linawezekana kabisa ukiliweka katika matendo. Mimi ni mmoja ya watu ambao nilitumia njia kama hiyo nilipokua University. Japo nilichelewa kupata hilo wazo lakin niliweza kukusanya Sh 800k ndani ya mwaka mmoja (third year) kwa kusave sh 200k kwa kila boom.
Niliporudi mtaani nikatafuta maeneo mazuri mawili nikafungua vibanda vya chips na nyama choma.
Nimehitimu mwaka jana na tayari kwa kiasi flani kuna hatua kubwa sana naona nimepiga japo changamoto hazikosi.
 
Ujumbe nzuri sana braza
 
Kweli maisha safari....at some point in my life way back Tsh 1.2 M meant a lot i wud kynda feel loaded wit that kynda money, but now priorities have really changed ....saa hivi nikiona mtu anavyohanagika ku raise Tsh 1 M cash for capital im like seriously ??

Eeh Mungu nakuomba unipe moyo wa unyenyekevu hivi hivi nisibadilike. Ni neema zako tu Mungu. Amen
 
embu cheki njia ya vikoba,,,kwa wiki 52 unaweka 10000 utakuwa na 520000 mara 3 (1560000) bado faida plus jamii m2 inafika baba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…