Jinsi ya kupata mtaji kupitia boom la chuo

Jinsi ya kupata mtaji kupitia boom la chuo

Kweli maisha safari....at some point in my life way back Tsh 1.2 M meant a lot i wud kynda feel loaded wit that kynda money, but now priorities have really changed ....saa hivi nikiona mtu anavyohanagika ku raise Tsh 1 M cash for capital im like seriously ??

Eeh Mungu nakuomba unipe moyo wa unyenyekevu hivi hivi nisibadilike. Ni neema zako tu Mungu. Amen
Broo tupe madini ndugu zako najua uko vizuri sana upande huu wa ujasiliamali
 
Broo tupe madini ndugu zako najua uko vizuri sana upande huu wa ujasiliamali

Yani mimi kwa hzi biashara ninavyozijua. Trust me kwa mtu mwenye mwenye huo mtaji na anaetaka na kudhamiria kweli kutoka kimaisha.....aisee fanya ununue bale la mitumba ya kike “ grade A” kaa sehem uza. Ukiwa serious after a year lazima utatoka tu.

Hyo biashara itamsaidia kijana ku amplify his capital. Yani sioni sehem nyingine mtu anaweza wekeza hyo amount akatoka within a year or two. Kama atanunua boda boda sawa ila aendeshe mwenyewe...kama ataweza fungua mama/baba lishe sawa ila inabdi akomae golini mwanzo mwisho inalipa ila kuna challenge zake i.e. setup costs, wages and salaries et al.

Kwangu mimi kama ingelikua mm ningeuza mitumba ya kike grade A. I kno what im saying na ni mtizamo wangu mm.
 
Yani mimi kwa hzi biashara ninavyozijua. Trust me kwa mtu mwenye mwenye huo mtaji na anaetaka na kudhamiria kweli kutoka kimaisha.....aisee fanya ununue bale la mitumba ya kike “ grade A” kaa sehem uza. Ukiwa serious after a year lazima utatoka tu.

Hyo biashara itamsaidia kijana ku amplify his capital. Yani sioni sehem nyingine mtu anaweza wekeza hyo amount akatoka within a year or two. Kama atanunua boda boda sawa ila aendeshe mwenyewe...kama ataweza fungua mama/baba lishe sawa ila inabdi akomae golini mwanzo mwisho inalipa ila kuna challenge zake i.e. setup costs, wages and salaries et al.

Kwangu mimi kama ingelikua mm ningeuza mitumba ya kike grade A. I kno what im saying na ni mtizamo wangu mm.
Thanks brother. .
Nimejifunza kitu.
[emoji110] [emoji110] [emoji110]
 
Back
Top Bottom