Scientific Prove Ya uwepo wa Hii issue haipo Lakini kutokana na studies za Chromosomes na sperms its possible pia kuna watu wanasema wameshafanikiwa kuchagua Jinsia za wanao,Anyway Mzigo uko Ivii
1.KUBADILI DIET(Changing diet)
Kwenye thread Ya vagina PH nlisema kuwa Vagina ni Acidic Ila Sperms ni Basic In nature Ulaji wa acidic food unaadhiri sperms especially Ile Y chromosome sperm ambayo imecarry men xtics Lakini X chromosome iliobeba Women xtics inaweza survive harsh conditions ivo kuchangia kupata mtoto wa kike
Example za foods ni Beef,rice,chicken n.k
2.KUACHANA NA STYLE KUNTU(deep penetration)
Style nzito nzito kama Doggy Ivi zinampa mwanaume advantage ya kumwaga sperms karibu na Cervix hivo kuepuka Vagina acidic enviroment(ambayo inaweza kuadhiri Y sperm chromosome zaidi kuliko X sperm Chromosome),Jaribu Missionary style!
3.MWANAMKE USIFIKE KILELENI(orgasm)
Orgasm Inasababisha contraction ambayo inafanya Cervix Ishuke towards the vagina IVo mwanaume akimwaga Y chromosome sperms zina spidi balaa zinawahi kabisa,Ivo X chromosome sperms zinabak kwaio kama unataka mtoto wa Kile no Orgasm!!!
4.KUFANYA NGO KABLA YA PERIOD!
Hapa ni siku 2 kabla au 3 maana sperms zinaweza kusurvive kwa masaa 72 ndani ya uke,since X chromosome ndo zmezoea shida na Kuhimili mazingira Magumu sana Ivo zinachelewa kufa ukicompare na Y chromosome sperms ambazo ni Legelege zinakufa mapema hence said ukujamiana huo muda kabla Ya period Y sperm chromosomes zitakia zimekufa nyingi Ivo uwezekano wa kupata Mtoto wa Kike ni Mkubwa.
5.MUME AVAE NGUO ZA KUBANA KWA MUDA
Mapumbu Yananing'inia nje Ya mwili kwasabu Joto linalohitajika kutengeneza sperms ni dogo kuliko lile la Mwili,ukivaa Nguo za kubana(boxer) unaongeza Joto ivo Kuyapasha hatimae unaadhiri zile sperms..ukitaka mtoto wa kike mwanaume anatakiwa apashe mapumbu kwa muda(masaa kadhaa) akiwa anajiandaa kuja kukupa Mimba ILI azimalize nguvu Ya kukimbia Y chromosome sperms ambazo zina Mbio sana Ukilinganisha na X chromosomes ILI zikiingia kule ushindani upungue X ndo zikafana Fertilization!