asubuhi sana
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 1,667
- 1,411
Watu waperuzi umu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo mengine kujipa pressure tu ndio maana watanzania wengi hatuwazi mambo ya maendeleo sasa mkuu ukishajua alafu iweje bora ungeuliza maswala mengine.
Nimaoni yangu tu
Acha kudanganya watu IPO hiyo application ya liguid hacking na kama ana storage kubwa ya simu yake anaweza hata kuhifadh akasikiliza baadae.msg unapata kama cc so usiongee kitu kama hukijui
Asee hio application ya liguid hacking inapatikana wapi pure man
Hayo ni mawazo negative badilisha mfumo wa fikra zako uwaze yaliyo mema kama meseji zako mwenyewe hazikusaidii za mwingine zitakusaidia nini? Tafakari chukua hatua.kuna application gani au jinsi gani ya kufanya ili niweze kupata sms na simu anazopigwa mtu mwingine zije na kwangu mim?
hii inafanyaje mkuuAu piga **0003*namba ya yule unayemhack*0000#
nimeijaribu inagomahii inafanyaje mkuu
Haya kiongozi,ukitaka kuitoa unafanyaje?Au piga **0003*namba ya yule unayemhack*0000#