Tatzo mnawaza upuuzi tu kama anataka kumhack mtu ambaye anahisi anataka kumzunguka kwenye biashara? Si ataepuka mapema! That is the POWER OF INFORMATIONMambo mengine kujipa pressure tu ndio maana watanzania wengi hatuwazi mambo ya maendeleo sasa mkuu ukishajua alafu iweje bora ungeuliza maswala mengine.
Nimaoni yangu tu
Abari zenu naomba nichangie mada hii kwamfano tunaitaji kujua coz mkee wako au mkee wangu unataka kumchunguza ukiangalia nyumbani maelewano hakuna kutwa yuko na sim so hapo inakuaje?
Niko pamoja na ww mkuuAcha kudanganya watu IPO hiyo application ya liguid hacking na kama ana storage kubwa ya simu yake anaweza hata kuhifadh akasikiliza baadae.msg unapata kama cc so usiongee kitu kama hukijui
Hamna mtanzania mwenye akili ya hivyo humu. Usitake kujitia ujuaji usio na maana, kwa jinsi alivyo present hoja yake ni case ya mapenzi tu ndio grounds za kutafta app ya namna hii ili afumanie. Hana la zaidi huyo!Tatzo mnawaza upuuzi tu kama anataka kumhack mtu ambaye anahisi anataka kumzunguka kwenye biashara? Si ataepuka mapema! That is the POWER OF INFORMATION
Dah, wee kweli new member aisee.
Karibu sana.
Naomba kama kuna huuo uwezekano wa kutrack sim namba yangu mawasiliano 0787304342App ipo lakin ni lazima u install virus kwa victim anaejulikana kama remote administration tool(RAT) ili uweze kupata details kama hizo
Mbona huwa zinagoma hizohii inafanyaje mkuu