Jinsi ya kupata umaarufu mapema JF

Nilijaribu kuutafuta umaarufu kupitia id fulani lakini niliacha baada ya kushindwa na kuona hakuna manufaa yoyote. Huwa naitumia mara moja moja. Kuna vitu vingine ni kujisumbua bure tu.
 
Hahaaa Moja ni JiweNabii nyingne Sizonje, kwa ninachopitia kpnd hk ndo password pekee siwez kuzisahau
Unakumbukaje passwords zote[emoji4][emoji4]
Password moja tu huwa kila siku nasahau
 
Baada ya kuwa maarufu , then what next ?
Ugonjwa wa kutaka kuwa maarufu ni tatizo kubwa katika jamii.
Kwa utafiti wangu usio na maana ni hitaji la watu wengi hata humu. Na wengiwanasukumwa na narcissism.

Ndio maana watu wamewahi kulilia like.
Nyuzi za mtu maarufu sijui mtaalam haziishi kila kukisha.
Nimeona ni vizuri kutoa maoni watu wasaidiwe.
Maana hata hivyo siku hizi u maarufu mitandaoni ni pesa.

Binafsi sitaki wala sio maana imani yangu inasisitiza maarufu awe Yesu sio mwanadamu.
 
Hahahah achana na tuzo hata tuhela tu kidogo yaan tukishalog out tunasahau kama kuna kitu kinaitwa jf
Shoga kuna watu wanapambana na umaarufu wa JF,.hahhaah id fekelo jina fekelo afu unataka umaarufu,.akujue nani???mfyuuuuuu watu tukishalog out tunayasahau yooooote,labda kidooogo kungekuwa na tuzo tena za kutambulika hata kiwilaya tuu,.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…