Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Jamaaa acha bas kumbe hii ndo id yako nyingineAf ww jamaa mbn unajib kama ndo umetoa post ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaaa acha bas kumbe hii ndo id yako nyingineAf ww jamaa mbn unajib kama ndo umetoa post ww
Af ww jamaa mbn unajib kama ndo umetoa post ww
Mkuu naona umeibuka na id yako ya pili.
Hivi ile ya Boko wanafungwa watu wa makosa gani?Cha kwanza inabidi upate kifungo cha kutosha, kuanzia miaka 7+, pia uwe tayari kutembeza vichapo kila inapobidi, pia uwe na utayari wa kupokea vichapo vya wafungwa waliopinda. Habari kamili kwanza tafuta kifungo kifupi cha kama miezi 3 ili ukajifunze mazingira halisi na omba upelekwe magereza yenye changamoto kama kwa Dilunga (Boko), Maweni (Tanga), Butimba (Mwanza) Isanga (Dodoma) au Segerea Dsm
Zamani wavulana wa dar ambao walikuwa wanadandia meri na kutoroka wakirudi wanafikishwa kwa Dilunga au Mbutu Kigamboni, na vibaka waliohitaji kunyooshwa walifikishwa huko. Magereza hayo ya jijini Dar yalisifika kwa kupiga kijembe na kazi nyinginezoHivi ile ya Boko wanafungwa watu wa makosa gani?
Vipi gereza la Ngwala huko Chunya,nasikia mfungwa anaweza toroka lakini akarudi mwenyewe tena mbio maana lipo mbugani.Cha kwanza inabidi upate kifungo cha kutosha, kuanzia miaka 7+, pia uwe tayari kutembeza vichapo kila inapobidi, pia uwe na utayari wa kupokea vichapo vya wafungwa waliopinda. Habari kamili kwanza tafuta kifungo kifupi cha kama miezi 3 ili ukajifunze mazingira halisi na omba upelekwe magereza yenye changamoto kama kwa Dilunga (Boko), Maweni (Tanga), Butimba (Mwanza) Isanga (Dodoma) au Segerea Dsm
Hahahahaha[emoji3] [emoji3] [emoji3] umenifanya nicheke sana mkuu.[emoji3] [emoji3]Vipi gereza la Ngwala huko Chunya,nasikia mfungwa anaweza toroka lakini akarudi mwenyewe tena mbio maana lipo mbugani.