Jinsi ya kupata views nyingi hapa JF

Mjina Mrefu

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2016
Posts
3,045
Reaction score
3,389
Wakuu embu niambieni nifanyeje ili nipate views kama 50k kwenye uzi mmoja ndani ya masaa 48?

Kuna taasisi moja isiyo ya kiserikali inataka nipeleke uzi niliowahi kuuandika humu jamvini, na kupata views nyingi kiasi hicho.

Inatakiwa niprint uzi huo na kuambatanisha kwenye documents zangu niwapelekee ili nipewe kazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Andika uongo kama huu Cocochanel kasomeshwa namba awamu hii ya tano, na sasa anafikiria Chama cha kuhamia... eeeeeh

Ila huo mtego nao mmmh.. naona pia inategemea na kazi unayoitaka.. na pia uzi kama huu umeanzisha sasa na baadae ndio uweze na mwingine.. labda una ID ingine maana mmmmh!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…