Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Sema usiye fahamu, bimkubwa alikuwa na pika hii Mara nyingi.Ndio maana nimeshtuka niliposikia rangi ila sasa nimefurahi tusiofahamu tuko wengi.
Atakuwa Mtanga huyu binti.Watia jikoni kwa muda gani?
Wali watia rangi mbili zipi rafiki?
Hizo rangi rangia WATIA toka wapi na ni rangi gani?
Ila hizo mchanganyiko kupata si mchezo...
Nielekeze nipike muda huu rafiki.
Hata la kwa Selebonge? Ni best biriani in town.Sijawahi penda birihani.
Shangazi pika Basi, nije Nile🤓Atakuwa Mtanga huyu binti.
Hufahamu kupika tu kijana,Sema usiye fahamu, bimkubwa alikuwa na pika hii Mara nyingi.
Guess ulikuwa bize na kina Anna ma uti🤓🤣
Mi sijui kupika chochote.Shangazi pika Basi, nije Nile🤓
Sasa huwa una ishi kwa fast food🤓😆Mi sijui kupika chochote.
Chizi nimecheka sana 😂😂Watia nazi sie twatia pilipili twatengeneza sharubati twatia sukari twaonja chumvi twaongeza kidogo
Twakaribishwa karibu twala mie nasema asante nishatwala
Upishi ni kazi watu wanaenda shule kusoma kabisa, na pia ni hobby na mimi vyote viwili sina.Sasa huwa una ishi kwa fast food🤓😆
Unamjua mke wa Nuhu kwenye kitabu kitakatifu?Kaka napitaga humo humo, sijui chumvi Ina uhasama gani na mimi 🤣
Ko kupika nehi nehi kabisa 😄, hata chapati??Upishi ni kazi watu wanaenda shule kusoma kabisa, na pia ni hobby na mimi vyote viwili sina.
Ali fanyaje tena 😁😆Unamjua mke wa Nuhu kwenye kitabu kitakatifu?
Tena chapati 😂 We niache!Ko kupika nehi nehi kabisa 😄, hata chapati??
Aligeuka kuwa chumviAli fanyaje tena 😁😆
We kumbe mweupe kwenye bible 😆, aliye geuka chumvi ni mke wa lutu jinga wee🤔🤣Aligeuka kuwa chumvi
Kwan mi nimeandika nan🤣🤣🤣 network jombaaaWe kumbe mweupe kwenye bible 😆, aliye geuka chumvi ni mke wa lutu jinga wee🤔🤣
Sija wahi hata kutamani iwe hivyo, please USI mlete kwenye rada zangu 🙏🙏Nitakualika wewe pamoja na lovie mpenzi wako🐒
We si ume andika mke wa nuhu🤓🤣, nuhu ali tengeneza safina bhana.Kwan mi nimeandika nan🤣🤣🤣 network jombaaa