Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Woiiii tuzilete chat zenu jukwaani ulivyokuwa unalilia tunda kimasihara🐒🐒Sija wahi hata kutamani iwe hivyo, please USI mlete kwenye rada zangu 🙏🙏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Woiiii tuzilete chat zenu jukwaani ulivyokuwa unalilia tunda kimasihara🐒🐒Sija wahi hata kutamani iwe hivyo, please USI mlete kwenye rada zangu 🙏🙏
Leo umepata fimbo ya kunichapia sheikh, mwalimu wangu wa divinity akiiona hii nimeishaWe si ume andika mke wa nuhu🤓🤣, nuhu ali tengeneza safina bhana.
Lutu Ali kimbia mjibwa dodoma, mkewe ndo aka turn neel salt🤓
Leteni,Woiiii tuzilete chat zenu jukwaani ulivyokuwa unalilia tunda kimasihara🐒🐒
Hivi vitu vina wenyewe ka sisi, with an international prestige tuki Jenga taasisi🤓🤒Leo umepata fimbo ya kunichapia sheikh, mwalimu wangu wa divinity akiiona hii nimeisha
Khaa, mjomba alikuwa ala mgahawani??, au uli ajiri mpishi 🤓.Tena chapati 😂 We niache!
Siku ya kwanza kufika TangaChizi nimecheka sana 😂😂
Hostel tulikuwa na matroni mtanga ana zile afanya, aenda, arudi, aruka sijui afanya nini. It was funny kumsikiliza.
Ngoja nikustili kwa hili😁😁😁Leteni,
mi sio kila kikombe nita nywea maji, kisa tu Nina kiu madam.
Au cyo! Tukutane baada ya miaka kadhaa ukiwa na office zako Kwa bidenHivi vitu vina wenyewe ka sisi, with an international prestige tuki Jenga taasisi🤓🤒
Kwa biden nina opportunity ya kwenda Niki taka, ila it's not ma favorite place.Au cyo! Tukutane baada ya miaka kadhaa ukiwa na office zako Kwa biden
🔥🔥🔥🔥Hapa kwa kwel umejibu vema kama jf memberNiki taka, ila it's not ma favorite place.
Nikienda Tanga sirudiSiku ya kwanza kufika Tanga
Unaweza kuambiwa
karibu sie twala
We ukajibu Twaleni tu mi nishatwala
Leta madam, speculation bzina paswa kuwa ukweli😆🤓Ngoja nikustili kwa hili😁😁😁
Bro niko nanjilinjii 🤓, ila bongo patamu asi kwambie mtu🤣🔥🔥🔥🔥Hapa kwa kwel umejibu vema kama jf member
Tunachane na hayo lipa deni😁Leta madam, speculation bzina paswa kuwa ukweli😆🤓
Anae nidai Mwaka huu ni my last sibling,Tunachane na hayo lipa deni😁
Patamu ukicompare na wapi? We unataka kusema bora manzese kuliko New YorkBro niko nanjilinjii 🤓, ila bongo patamu asi kwambie mtu🤣
Baada ya deni umekimbia mkoa ukija huku tunakukausha maji🐒Anae nidai Mwaka huu ni my last sibling,
nili muahidi akiwa top 3 nita mnunulia I phone ya kwake 🤓🤣.
Sasa ana ona siku Zina enda, naishia kumnunulia shawarma 🤓
new York pazuri ukiwa na mkwanja bhana, ila Huku bongo fumba kiasi una enjoy kinyama.Patamu ukicompare na wapi? We unataka kusema bora manzese kuliko New York
Mna nidai nini 🙄🤔, Jobless pro max Sina Deni kwa mtu baki 🤓Baada ya deni umekimbia mkoa ukija huku tunakukausha maji🐒
Kataa hivyohivyo ila usikanyage huu mkoaMna nidai nini 🙄🤔, Jobless pro max Sina Deni kwa mtu baki 🤓