Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
- Thread starter
-
- #21
Tafuta konokono hai, kisha watie chumvi. Waanike juani kama masaa mawili ili wanyauke!!
Baada ya hapo unaweza kuwatengeneza supu au kuwarost!! Kumbuka kuweka vitunguu vingi!!
Mtaanza kupika na makamasi
Aisee hii nyama ni tamu. Niliwahi kula ikiwa imeungwa na muitaliano mmoja hivi. Kipindi kicho konokono ni wengi msimu wa mvua
Inawezekana kwa kuwa nilishuhudia walivyokuwa wanatolewa hayo magamba.
khaaaaa!
Nyie ndiyo chanzo Cha kuibuka kwa magonjwa ya virusi duniani
[emoji44][emoji15][emoji23][emoji23]Ni vyakula kama vyakula vingine mkuu.
We jamaa una hatari. Ungekuwa nchi flani hivi nina uhakika hadi chura ungepeleka puani.Konokono wanatamanisha sana kula, japo sijawahi kula ila huwa nikimshika kuwa natamani nimle vilevile mbichi.
Chura huku niliko analiwa japo sio sana, sema sinaga interest nao japo waliowahi kula chura wanaisifia nyama yake kuwa ni kama ya kuku...We jamaa una hatari. Ungekuwa nchi flani hivi nina uhakika hadi chura ungepeleka puani.
Khaaaaa! Msituletee milipuko ya maradhi ya ajabu, kanunue mbuzi bhana uchinje!
Jinga thank!
Mimi nitakufundisha mkuuHabari!
Twende moja kwa moja kama mada husika. Napenda sana kupika mapishi mbalimbali kulingana na mazingira niliyopo na nini nahitaji.
Sasa wapishi wenzanu wenye uzoefu na pishi la kumpika Konokono kwa chakula tusaidieni kupeana uzoefu.
Pia kama ni aina zote za Konokono unaweza kumfanya kitoweo kwa chakula.
Hii imenishawishi kutokana na eneo niliopo naona kuna Konokono wengi sana sasa kama naweza kuwafanya kitoweo.
Shukrani Ma-chef Cook Wote.
Nasikia wanalika vizuri na tambi
Ingia youtube tafuta "Japanese seaFood snail sashimi"
Hapo utaona wanavyoandaliwa bila hata ya kupikwa.
Kumbuka kuandaa Soy Sauce Tamu!
Jamani mi staki
duh!! hadi konokono
Konokono wanatamanisha sana kula, japo sijawahi kula ila huwa nikimshika kuwa natamani nimle vilevile mbichi.