Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
- Thread starter
-
- #41
We jamaa una hatari. Ungekuwa nchi flani hivi nina uhakika hadi chura ungepeleka puani.
Mimi nitakufundisha mkuu
Umenikumbusha mbali Sana wakati nakaa na bibi yangu alinifundisha
Kwanza tafuta konokono wazima wale wanaokaa migombani au sehemu zenye unyevuunyevu (chukua wa kutosha) kisha tafuta sufulia kubwa waweke then Tia maji waweke jikoni wafunike, mpaka watokote kabisa ukijiridhisha waepue wakiwa hawajapoa tafuta kitu chenye ncha Kali tumia kifaa hicho kutoa mnofu wa konokono kwenye Ganda lake, ukimaliza waoshe vizuri kama unataka kukaanga weka viungo kama nyama ya kawaida kisha weka mafuta jikoni tayari Kwa kukaanga au ukitaka unaweza kuendelea kama nyama ya kawaida
Note
Nyama ya konokono ni Tamu Sana na haina mfupa
Kama unaswali jingine niambie
[emoji1541][emoji1541][emoji1541]Konokono unamlaje sasa[emoji19], kuku,samaki,ng'ombe, mbuzi wameisha kwani??[emoji848][emoji848]
Mimi nitakufundisha mkuu
Umenikumbusha mbali Sana wakati nakaa na bibi yangu alinifundisha
Kwanza tafuta konokono wazima wale wanaokaa migombani au sehemu zenye unyevuunyevu (chukua wa kutosha) kisha tafuta sufulia kubwa waweke then Tia maji waweke jikoni wafunike, mpaka watokote kabisa ukijiridhisha waepue wakiwa hawajapoa tafuta kitu chenye ncha Kali tumia kifaa hicho kutoa mnofu wa konokono kwenye Ganda lake, ukimaliza waoshe vizuri kama unataka kukaanga weka viungo kama nyama ya kawaida kisha weka mafuta jikoni tayari Kwa kukaanga au ukitaka unaweza kuendelea kama nyama ya kawaida
Note
Nyama ya konokono ni Tamu Sana na haina mfupa
Kama unaswali jingine niambie
I see! [emoji848][emoji848][emoji848]Konokono wanatamanisha sana kula, japo sijawahi kula ila huwa nikimshika kuwa natamani nimle vilevile mbichi.
Dah yani unanitamanisha hadi mate yanajaa kweli unajua hii kitu nilikula bagamoyo ila hapa dar sijajua wapi wanawauza konokono mtamu sanaMimi nitakufundisha mkuu
Umenikumbusha mbali Sana wakati nakaa na bibi yangu alinifundisha
Kwanza tafuta konokono wazima wale wanaokaa migombani au sehemu zenye unyevuunyevu (chukua wa kutosha) kisha tafuta sufulia kubwa waweke then Tia maji waweke jikoni wafunike, mpaka watokote kabisa ukijiridhisha waepue wakiwa hawajapoa tafuta kitu chenye ncha Kali tumia kifaa hicho kutoa mnofu wa konokono kwenye Ganda lake, ukimaliza waoshe vizuri kama unataka kukaanga weka viungo kama nyama ya kawaida kisha weka mafuta jikoni tayari Kwa kukaanga au ukitaka unaweza kuendelea kama nyama ya kawaida
Note
Nyama ya konokono ni Tamu Sana na haina mfupa
Kama unaswali jingine niambie
Hao ukitaka ushibe upasuke tumbo, kula na bamia la kukoroga.
mrindi au wengine huita tondo ni tam uunge na nazime napendelea kuwamix kwenye kachumbari ya kiswahili au nipike zodo niwamiminie humo nitige tige embeliorojekee mirindiikiwemo ni tamna ugaliDuuh!! Umenikumbusha kule kwetu kuna kitu kinaitwa mirindi nacho huwa nahisi ni jamii ya hayo makono kono nilikula zamani sana wanachemsha na kuweka chumvi inakuwa sehemu ya kitoweo.
Kwa sasa siwezi kula abadan.
Duuh!! Kumbe ukiitia kwenye zodo inakuwa mitamu eee?mrindi au wengine huita tondo ni tam uunge na nazime napendelea kuwamix kwenye kachumbari ya kiswahili au nipike zodo niwamiminie humo nitige tige embeliorojekee mirindiikiwemo ni tamna ugali
sana mimi ya chumvi tu siwezu piaDuuh!! Kumbe ukiitia kwenye zodo inakuwa mitamu eee?
Mana mwenzio kila nkiifikiria. Lol. Mitupu ya kuchemsha na chumvi kwa sasa hata siiwezi.
Sasa sisi miaka hiyo tulikuwa tunachemshiwa ya chimvi tu ukitaka kula na ugali unachukua mmoja mmoja na kuanza kuifyurura (sijui kiswahili fasaha cha hili neno lol) yaani hakukuwa na muda wa kusema wakutolee yaani utavuta mwenyewe ndipo ule. . πππsana mimi ya chumvi tu siwezu pia
hiyo ingenishinda,kuna jiran yetu mpaka leomirindi ndiosamakiwake,halaf anawagonga yale matumbo yake anakula mimi naona kinyaaSasa sisi miaka hiyo tulikuwa tunachemshiwa ya chimvi tu ukitaka kula na ugali unachukua mmoja mmoja na kuanza kuifyurura (sijui kiswahili fasaha cha hili neno lol) yaani hakukuwa na muda wa kusema wakutolee yaani utavuta mwenyewe ndipo ule. . πππ
Daah!! Ila nionavyo wenzetu walioizowea wao kuila kwa hali yeyote wanaona sawa.hiyo ingenishinda,kuna jiran yetu mpaka leomirindi ndiosamakiwake,halaf anawagonga yale matumbo yake anakula mimi naona kinyaa
kuwafyonza (kuyafurura) umeongea kitaanga hasa
Nakutafuta mnoo Fanya kunipigia namba nimepoteza dog lako hapaSasa sisi miaka hiyo tulikuwa tunachemshiwa ya chimvi tu ukitaka kula na ugali unachukua mmoja mmoja na kuanza kuifyurura (sijui kiswahili fasaha cha hili neno lol) yaani hakukuwa na muda wa kusema wakutolee yaani utavuta mwenyewe ndipo ule. . [emoji3][emoji3][emoji3]
Maagizo nimempa sesten kama hutaelewa muulizeDaah!! Ila nionavyo wenzetu walioizowea wao kuila kwa hali yeyote wanaona sawa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ππππ Sawa ndugu.Maagizo nimempa sesten kama hutaelewa muulize
Wanawachemsha kwanza wakiwa na maganda yao. Baada ya hapo inakuwa rahisi zaidi kuwatenganisha miili na gamba zaoMkuu wanalotewa vipi magamba?
Nimewatazama Hawa Itakuwa Ni Jamii Hiyo Hiyo Ya Konokono.mrindi au wengine huita tondo ni tam uunge na nazime napendelea kuwamix kwenye kachumbari ya kiswahili au nipike zodo niwamiminie humo nitige tige embeliorojekee mirindiikiwemo ni tamna ugali
yap wa bahariniNimewatazama Hawa Itakuwa Ni Jamii Hiyo Hiyo Ya Konokono.