kantalambazi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 2,011
- 650
WEEE usiniite kwenye makande mimiMiss Natafuta haya mpe ujuzi wako
leo huyapendi dooooh mungu anakuona wallahWEEE usiniite kwenye makande mimi
Waungwana,
Nina hamu na makande na ninataka kuyapika.
Je niweke vitu gani ili msosi unoge? Pia, maharagwe na mahindi nayaweka pamoja au nasubirisha kuweka maharagwe?
Mmekatazwa kutaja jina , hamsikii
Whaaat, makande yanaliwa na binadamu? Jamani makande si ni chakula cha ng'ombe na punda?
Karanga zilizosagwa au NaziWaungwana,
Nina hamu na makande na ninataka kuyapika.
Je niweke vitu gani ili msosi unoge? Pia, maharagwe na mahindi nayaweka pamoja au nasubirisha kuweka maharagwe?
ahahaa hebu waulize mkuu? wanaume wa dar haoWhaaat, makande yanaliwa na binadamu? Jamani makande si ni chakula cha ng'ombe na punda?
Ndio sisi wapare tunakula na tuna afya njema, sasa wewe mla chips yai kalagabahoWhaaat, makande yanaliwa na binadamu? Jamani makande si ni chakula cha ng'ombe na punda?
leo huyapendi dooooh mungu anakuona wallah
hahahahahhah yani Miss Natafuta umenifanya nicheke kwa sauti hahahahahaahpm kisa makande?
ahahaa hebu waulize mkuu? wanaume wa dar hao
Hayo yatakuwa makande new model (makande mwendokasi)[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]weka carrots....nyanya ...hoho....kitunguu....na nazi.
afu pika na samaki pembeni ila samaki wa mchuzi.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Whaaat, makande yanaliwa na binadamu? Jamani makande si ni chakula cha ng'ombe na punda?
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Yapake lipstick na wanja
Ndio sisi wapare tunakula na tuna afya njema, sasa wewe mla chips yai kalagabaho
ni matamu balaaa............makande na samaki......na jinsi kande zinavyoshibisha acha tu.Hayo yatakuwa makande new model (makande mwendokasi)[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]