Jinsi ya kupika makande

Jinsi ya kupika makande

Kuna kande aina 2 ya mahindi na maharage mabichi au ya mahindi makavu(yaliyokobolewa) na maharage makavu.Mahindi na maharage kwa kesi zote 2 huwekewa jikoni wakati mmoja.
Kuboresha weka nazi,karoti,nyanya, vitungui,h oho,njegere kidogo,mengine wataongezea.
 
Waungwana,

Nina hamu na makande na ninataka kuyapika.

Je niweke vitu gani ili msosi unoge? Pia, maharagwe na mahindi nayaweka pamoja au nasubirisha kuweka maharagwe?


Whaaat, makande yanaliwa na binadamu? Jamani makande si ni chakula cha ng'ombe na punda?
 
Waungwana,

Nina hamu na makande na ninataka kuyapika.

Je niweke vitu gani ili msosi unoge? Pia, maharagwe na mahindi nayaweka pamoja au nasubirisha kuweka maharagwe?
Karanga zilizosagwa au Nazi
 
leo huyapendi dooooh mungu anakuona wallah
5d99c75bbecc1a96cabfd32262717b523508c954.jpeg
sijawai kila hiki chakula
 
Whaaat, makande yanaliwa na binadamu? Jamani makande si ni chakula cha ng'ombe na punda?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Hayo yatakuwa makande new model (makande mwendokasi)[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
ni matamu balaaa............makande na samaki......na jinsi kande zinavyoshibisha acha tu.
 
Back
Top Bottom