Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hold on, naomba connection ya Chuzi zito na UchiUnapika mashalaah ww mtoto yan chuzi zito kama umepika Uchi na msosi unaonekana mtaam😋😋
Nikajua labda wapishi wazoefu mnazandani ndani kumbe na wewe hola? 😂😂😂Mimi had kushangaa nimeshindwa 😂😂😂
Unipikie na mimi mkuuMkuu ijayo naomba unifundishe kupika chapati zenye karoti
Niwe nampikia mama ephen supu chapati
UsijaliUnipikie na mimi mkuu
Ndio ndio😍😍🤭
Mimi nimekazia tu hapo pa mtoto wa mama mkwe, ifu yu no, yu no...

😆😆😂😂😂🙌
Mdogo wangu mzuri, hii nayo ikikushinda basi itabidi tusikucheze mwaka huu walaqhi'...
😀😀😀Basi nafikiri utakuwa unasukuma sana kati hata ukandie mafuta Lita saba ukisukumansana kati Inakuwa kaukau
Napika Kesho hii, ntakuletea mrejesho 😜😜😋Natumaini wazima
Leo nawaletea recipe ya kupika samaki wa Nazi chukuchuku,wengine wanasema mchuzi ambao hauna mambo mengi
MAHITAJI
Samaki wabichi unaweza tumia pia wakavu
Nazi,karoti,hoho,kitunguu maji, nyanya,chumvi na ndimu ukipenda
Andaa viungo vyako katakata size utayopenda
Unaweza kuongezea biringanya,bamia au nyanya chungu kama ukipenda
Weka kwenye sufuria samaki,nyanya,karoti,kitunguu maji na chumvi Kisha weka maji kidogo Ili kuivisha viungo pamoja na samaki zingatia kipimo Cha maji
Ukiona vimeiva weka Nazi kwenye mchuzi wako acha ichemke
Hakikisha ugeuzi Wala kukoroga koroga sana unaweza ukawa unatumia njia ya kutikisa tu sufuria kidogo Ili mchanganyiko ukae vizuri ikiiva ipua tayar Kwa kula
Unaweza kula na wali au ugali
Mimi sijatumia nyanya,nimetumia karot wewe unaweza amua kama unatumia bas zisiwe nyingi
Nazi sio lazima ya kukuna kama yangu mnaweza kutumia ya pakti 😍
View attachment 2971868
View attachment 2971870
View attachment 2971872View attachment 2971874View attachment 2971876
Nawatakia sikunjema
Ukweli wa virutubisho ni upi kutoka kwenye hiko chakula...!?Natumaini wazima
Leo nawaletea recipe ya kupika samaki wa Nazi chukuchuku,wengine wanasema mchuzi ambao hauna mambo mengi
MAHITAJI
Samaki wabichi unaweza tumia pia wakavu
Nazi,karoti,hoho,kitunguu maji, nyanya,chumvi na ndimu ukipenda
Andaa viungo vyako katakata size utayopenda
Unaweza kuongezea biringanya,bamia au nyanya chungu kama ukipenda
Weka kwenye sufuria samaki,nyanya,karoti,kitunguu maji na chumvi Kisha weka maji kidogo Ili kuivisha viungo pamoja na samaki zingatia kipimo Cha maji
Ukiona vimeiva weka Nazi kwenye mchuzi wako acha ichemke
Hakikisha ugeuzi Wala kukoroga koroga sana unaweza ukawa unatumia njia ya kutikisa tu sufuria kidogo Ili mchanganyiko ukae vizuri ikiiva ipua tayar Kwa kula
Unaweza kula na wali au ugali
Mimi sijatumia nyanya,nimetumia karot wewe unaweza amua kama unatumia bas zisiwe nyingi
Nazi sio lazima ya kukuna kama yangu mnaweza kutumia ya pakti 😍
View attachment 2971868
View attachment 2971870
View attachment 2971872View attachment 2971874View attachment 2971876
Nawatakia sikunjema
Sijajua mkuu mm navoelewa mchuzi chukuchuku ni mchuzi ambao haujakaangwa viungo like vitunguu na nyanya na vingine yaani mafuta hayajatumika inaweza kuwa umetumia Nazi au hujatumia wew unaelewaje?Sijaelewa, na nazi Halafu Tena chukuchuku?
Maana ya chukuchuku unaielewa Mleta mada?