Jinsi ya Kupika mchuzi wa samaki na Nazi (chukuchuku)

Shukrani sana kwa funzo la pishi zuri mwaya Aaliyah..!!😍😍
 
Nikajua labda wapishi wazoefu mnazandani ndani kumbe na wewe hola? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚ Labda Kina shishi Aje aondoe huu utata hii ni shutuma nzito mnoπŸ˜€
Nimelia sana
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
Mdogo wangu mzuri, hii nayo ikikushinda basi itabidi tusikucheze mwaka huu walaqhi'...
πŸ˜†πŸ˜†
Inaonekana ni jambo jepesi kwa kweli
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Basi nafikiri utakuwa unasukuma sana kati hata ukandie mafuta Lita saba ukisukumansana kati Inakuwa kaukau

Kusukuma kati nilishaambiwa na nikaiacha
Basi tu chapati ziliamua kunikataa na nimekubali
 
Napika Kesho hii, ntakuletea mrejesho πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‹
 
Ukweli wa virutubisho ni upi kutoka kwenye hiko chakula...!?
 
Sijaelewa, na nazi Halafu Tena chukuchuku?

Maana ya chukuchuku unaielewa Mleta mada?
 
Unafikiri hata hamu ya kula ipo basi, akili inawaza tu saa ngapi tutatekwa
 
Sijaelewa, na nazi Halafu Tena chukuchuku?

Maana ya chukuchuku unaielewa Mleta mada?
Sijajua mkuu mm navoelewa mchuzi chukuchuku ni mchuzi ambao haujakaangwa viungo like vitunguu na nyanya na vingine yaani mafuta hayajatumika inaweza kuwa umetumia Nazi au hujatumia wew unaelewaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…