Mrs Kharusy
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 1,244
- 671
Wabheja mayo asante sana
mkate mtamu huu unaonekana :smiling:
Wabheja mayo ndo nn kaka sijakusoma
mkate mtamu huu unaonekana :smiling:
Jaan sante sana maana huku jikoni kulikua paka kashaanza kulalla
Hahhahah kweli ila ufunguo wa jiko tumekukabidhi ww ukaenda eid ukautupa kwenye sherehe hukohuko...lol
mkate mtamu huu unaonekana :smiling:
Missed you too mama 🙂 mwari wetu hajambo?Jamani mekumiss
Pilika za maisha mpenzi,nimebanwaaaa hata sipati kupumua teh!!!!Umepotelea wapi besti au vichochoro vya kwetu....lol
Missed you too mama 🙂 mwari wetu hajambo?
Owwww atakuwa kawa mkubwa sasa jamani....princess kaanza shule keshakuwa msichana:glasses-nerdy:Hajambo sana tu
Owwww atakuwa kawa mkubwa sasa jamani....princess kaanza shule keshakuwa msichana:glasses-nerdy:
Hii kitu leo jioni nikifika ghetto itabidi nijaribu kuitoa nitaleta mrejesho!
Dah. Mbona unaonekana mtamu hivi??