Jinsi ya kupika mkate wa haba soda

Jinsi ya kupika mkate wa haba soda

Wapendwa za wk end? I hope all is well.

Mahitaji

  • Maziwa ya unga (vijiko 6 vya chai)
  • Unga (vijiko 4 vya chakula)
  • Mayai 4
  • Mafuta Robo kikombe
  • Sukari kikombe kimoja (unaweza kupunguza kidogo km si mpenzi wa sukari)
  • Vanilla 1tsp .

  • Kijiko kimoja cha chai -baking powder
  • Haba soda

Namna ya kuandaa


Changanya vitu vyote pamoja kwenye bakuli safi, baada ya kuchanganyika vizuri mimina kwenye baking trey yako.

Unanyunyiza haba soda juu unatia kwenye oven unachoma kama keki.

Ikiiva toa wacha ipowe tayari kwa kuliwa.

BarakaAllah-fiki waa yuSaleem yedish....!
 
maji kiasi gani my dear maana hujaliambatanisha hilo na haba soda ni nini my ndugu...
 
maji kiasi gani my dear maana hujaliambatanisha hilo na haba soda ni nini my ndugu...

Hatuweki maji besti. Fata vipimo tu!
Haba soda ni black seeds hizo nilizonyunyiza juu hapo kabla ya kuchoma.
Na haba soda ni nzuri kwa afya pia namuomba kaka Mzizi MKavu atuwekee link ya faida za haba soda.
 

Attachments

  • 1408989520510.jpg
    1408989520510.jpg
    7.5 KB · Views: 218
Last edited by a moderator:
Mkuu huu kwetu tunaita mzinga wa nyuki kuna na lengine nimesahau..tunaweka na cheese ndani yake halafu tunamwagia maziwa ya sona au shira
Wow ! mashallah kume ndo jina lake ? sa hauo nyuki ni wakukausha au livu ? tujuze wapi yapatikana hiyo !
 
Wow ! mashallah kume ndo jina lake ? sa hauo nyuki ni wakukausha au livu ? tujuze wapi yapatikana hiyo !

Yaani inauzwa wapi??... sijui
Mwambie Mrs akupikie, akande unga kwa maziwa au nazi na vikorombwezo vyote vya kuufanya unga kuwa mlaini..aweke na sukari + chumvi kidogo na hamira
Auwache kidogo then akate vidonge vidogo vidooogo kati aweke cheese kipande kidogo apange kwenye trey km picha ulioweka. Ikiumuka achome ikiiva aache ipoe wakat wa kula amwagie shira au asali au maziwa ya sukar mazito.

Cc farkhina kwa vipimo zaidi 😉
 
Last edited by a moderator:
Yaani inauzwa wapi??... sijui
Mwambie Mrs akupikie, akande unga kwa maziwa au nazi na vikorombwezo vyote vya kuufanya unga kuwa mlaini..aweke na sukari + chumvi kidogo na hamira
Auwache kidogo then akate vidonge vidogo vidooogo kati aweke cheese kipande kidogo apange kwenye trey km picha ulioweka. Ikiumuka achome ikiiva aache ipoe wakat wa kula amwagie shira au asali au maziwa ya sukar mazito.

Cc farkhina kwa vipimo zaidi 😉

inshaAllah akiipatia tu ntaipiga picha niwatumie humu, I hope !
 
Back
Top Bottom