tandoor
Senior Member
- Jun 10, 2016
- 170
- 128
Salaaam wakuu
Kwa anaejuwa kupika hzo Bites naomba anielekeze plz
=====================
==================================
Kwa anaejuwa kupika hzo Bites naomba anielekeze plz
=====================
==================================
Chukua unga wa ngano andaa kama unataka kupika chapati, chukua nyama ya kusaga weka katikati ya unga uliousukuma kama chapati kisha weka yai bila kulikologa halafu kunja mkunjo wa bahasha weka kwenye flampeni ugeuze hadi utakapoiva