me sijaelewa mpka saizi si unajua mm ni iron boy i.e slow learnerAlaf nilijua ndizi kwel kumbe upuuzi mtupu
Acha uongo mzee, mimi muda ule sikuelewa maana nilikuwa busy kulike bila kusoma, nilisoma title tu nikakimbilia commentM
me sijaelewa mpka saizi si unajua mm ni iron boy i.e slow learner
Ngoja nisome tenaaa labda ntaelewaAcha uongo mzee, mimi muda ule sikuelewa maana nilikuwa busy kulike bila kusoma, nilisoma title tu nikakimbilia comment
Soma, kisha usireplyN
Ngoja nisome tenaaa labda ntaelewa
Kwanini mkuuSoma, kisha usireply
Tangazo nimelielewa sana, toa location ya mgahawa tuje kula sasa.Kwanza mahitaji
1. Ndizi
Iliyomenywa tayari au ambayo haijamenywa
Hatua
Anza kwa kuisafisha ndizi yako, isafishe kwa mikono yako taratibu. Usikubali kuiweka kwenye sufuria yako ndizi ambayo hujaisafisha coz MASOKO sio masafi siku hizi.
Endelea kuisafisha taratibu kisha isogeze karibu na sufuria lako kuona kama itatosha kuwekwa humo na mchuzi wako.
Ziandae nyanya mbili kwa ajili ya mchuzi wako
INAENDELEA