Naunga mkono hojasijawai ona mwanamke anaejua pishi alafu yeye asiwe chakula kitamu
hahaha.. natumia madafu na ndimu kila siku shekheeeahaahha nakwambia UTI hutopona wewe kamwe
Usiwape jibu...โบMpishi wa nani tena ๐๐๐
leo unajilia kipaja na chachandu ๐Nyumba yetu ni nyota 5 mkuu..๐
sio dawa iyohahaha.. natumia madafu na ndimu kila siku shekheee
๐๐ nije na pili pili au dark chocolateNjoo Nikuandalie
dawa ni ipi sasa tena jamani ๐๐sio dawa iyo
Taratibu usije lipua mijumba ya watu, maana masela hatu chelewi kutoa bokoKumbe simple namna hiyo, kesho najipikilisha..
Hivyo viungo vya pilau ndio viungo gani?
kutulia na mmojadawa ni ipi sasa tena jamani ๐๐
sasa mimi hata mmoja sina.. kwaiyo nipo safe zaido eehkutulia na mmoja
hii sentence yako hadi imetingisha mafigo yangu... we pishi una hatari sanaHiyo nyingine ๐