Jinsi ya kupika pilau na kuku wa kienyeji

Attachments

  • D9CAA26E-A318-4F46-8FF0-09D70E8A67EC.jpeg
    2.5 MB · Views: 3
Sasa hapo uongezi maji uo mchuzi wa kuku utaivisha kweli Michele na viazi
 
Kuna siku nimekaa home wife hayupo nikawa bored niko na kijana wangu akaniambia baba Leo tupike pilau
Nikajisogeza jikoni kilichotokea asee niliunguza mavitunguu na wali ukawa mweusi na rojo kama ugali wa kimbuli
Tuliishia tu kula nyama tukachukua na mkate na juice tukalala zetu
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… tatizo wanaume mnakuaga na mambo Mengi mkiwa mnafanya kazi.
 
Lakini Bora ulijitahidi πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…